PAYUS & MECRASS, WANAMUZIKI TOKA MWANZA WAACHIA KIBAO KIPYA



Kutoka Jijini Mwanza, vichwa viwili, Payusi na Mecrass ambao wanaunda kundi la "Payus & Mecrass" wameachiwa wimbo wao uitwayo Chausiku ambao kiukweli umepokelewa vyema na hakika unakonga nyoyo na masikio ya wapenzi wa muziki.
AU SIKILIZA HAPA

Comments