Mkataba wa Kumkodisha Msanii, Mwanamuziki au Mwimbaji Msindikizaji kwa ajili ya Onesho la moja kwa Moja (LIVE)



KILA SIKU WANAMUZIKI WANAFANYA KAZI ZA KUFANYA MAONYESHO, JE UNAJUA KUWA NI LAZIMA UPATE MKATABA? JE UNAJUA KUWA LAZIMA KUWEKO NA MKATABA TOFAUTI KWA KAZI YAKO KURUHUSIWA KURUSHWA KWENYE LUNINGA AU REDIO? ANGALIA MFANO HUU WA MKATABA KWA KAZI HIZO. MIKATABA HII IMETAYARISHWA NA UNESCO.
Mkataba huu unaeleza masharti ya kumkodisha msani kiongozi, mwanamuziki au mwimbaji msindikizaji Kwa ajili ya kushiriki kwao kwenye onesho la moja kwa moja. Makataba unaeleza wajibu wa mtayarishaji wa onesho na vilevile wajibu wa wanamuziki na waimbaji wasindikizaji.
 
 MSANII, MWANAMUZIKI au MWIMBAJI MSINDIKIZAJI (kwenye makataba huu atarejelewa kama MSANII)
MTAYARISHAJI WA ONESHO LA MOJA KWA MOJA.
KIFUNGU CHA 1 – Madhumuni
Bw / Bi. _________________________ anakodiwa kama ____________________________ kwenye onesho lifuatalo la moja kwa moja _______________________________________ mkataba lazima ujazwe kikamilifu, pale inapobidi kwa kuzingatia masharti ya sheria za kazi za nchi mkataba unamosainiwa.
KIFUNGU CHA 2 – Tarehe na Mahali
Tarehe na mahali pa kufanyia mazoezi ___________________________________________
Wakati ____________________________________________________________________
Tarehe na mahali pa maonesho ya umma _________________________________________
Wakati  ___________________________________________________________________
KIFUNGU CHA 3 – Kuwahi
Masanii anawajibika kwa mahali pa kufanyia mazoezi au mahali pa onesho kwa wakati unaotakiwa na ikiwezekana afike walau dakika kumi na tano kabla ya muda.
KIFUNGU CHA 4 – Malipo
Malipo kwa kila kipindi cha mazoezi ________________________________________
Malipo kwa kila onesho la wazi _____________________________________________
KIFUNGU CHA 5 – Gharama za Usafiri, Malazi na Posho ya kujikimu.
Iwapo MASANII atatakiwa kusafiri na kuishi kwenye hoteli kwa ajili ya kutekeleza mkataba huu, MTAYARISHAJI atawajibika.
Ø  Kulipa au kurejesha malipo ya usafiri.
Ø  Kushika na kulipa moja kwa moja chumba kimoja cha hoteli, ambamo huduma itajumuisha kifungua kinywa.
Endapo msanii atatakiwa kupata mlo nje ya nyumbani kwake kwa ajili ya kutekeleza makataba huu, mtayarishaji atawajibika kumlipa msanii kiasi kisichobadilika cha ___________________________ kwa siku ya safari na / au kwa siku ya kazi.
KIFUNGU CHA 6 – Rekodi na Matangazo ya kwenye Redio au Televisheni.
Rekodi yoyote na matangazo ya redio au televisheni lazima yawekewe mkataba maalumu kati ya MSANII na MTAYARISHAJI, isipokuwa kama utangazaji unafanyika maalumu kwa madhumuni ya promosheni.
Utangazaji unachukuliwa kufanya maalumu kwa madhumuni ya promosheni, na kwa hiyo MSANII anakubali utangazaji huo, iwapo muda wa kutangazwa kwa umma hauzidi dakika tatu.
MTAYARISHAJI anawajibika kupata kutoka kwa mtangazaji uthibitisho kuwa rekodi yoyote ya tangazo linalozidi dakika tatu haitahifadhiwa isipokuwa kama kuna mkataba maalumu ambao umetiwa saini kwa kusudi hilo.
KIFUNGU CHA 7- Mambo Mbalimbali.
Mkataba huu utaongozwa na sheria ya nchi unamofanyika utayarishaji.
Umesainiwa ……………………….. tarehe ………… katika nakala …………….halisi.
MSANII _____________________________________
MTAYARISHAJI ________________________________



Comments