KATIKA zama hizi za karibuni kumekuweko
na mambo mengi yanayofanywa na wasanii kwa kisingizio cha sanaa au
usanii. Na kati ya mambo haya kuna mengine ni uvunjaji wa sheria za nchi
na mengine ni ukiukaji wa maadili ya kawaida ya Watanzania walio wengi.
Mambo haya yamekuwa yakifanywa mara nyingine kwa kutojua lakini mara
nyingi kwa makusudi kabisa, imefika muda wa kuamshana kuwa wasanii ni
raia kama wengine hivyo wanatakiwa kufuata sheria, taratibu na tamaduni
zilezile ambazo watu wengine huzifuata. Pia wasaniiINAENDELEA
Comments