WANAMUZIKI 50 KUSHIRIKI KATIA UZINDUZI WA WIMBO WA MIAKA 50 YA MUUNGANO

Wanamuziki 50 kutoka aina mbalimbali za muziki watashiriki katika sherhe za miaka 50 ya Muungano na hapohapo kuzindua wimbo wa miaka 50 ya Muungano.......... Jana Alhamisi kundi hilo lilishinda Uwanja wa Taifa likifanya reharsal za wimbo huo utakao wekwa hadharani mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano, na wageni waalikwa na maelfu ya watakaohudhuria sherehe hizo, na pia kurushwa katika luninga mbalimbali zitakazorusha matangazo hayo laiv. Picha za chini wasanii wakiwa katika shughuli mbalimbali uwanjani hapo.









Comments