YALIYOJIRI ESCAPE ONE JANA


Jana ilikuwa Valentine, kumbi mbalimbali zilikuwa na maraha ya aina mbalimbali niliweza kuonja raha hizo. Escape One Mlalakuwa kulikuwa na Odama band, Juma Kakere na bendi yake, binti mdogo mwenye sauti tamu, Kadija, Linex na Kilimanjaro Band, baada ya hapo likafuatia disco la muziki wa zamani kidogo mpaka alfajiri. Letasi Pub pale Victoria Mapacha Watatu na ndugu zao Akudo Band waliliporomosha rumba usiku kucha, jirani hapo Mzalendo Pub, African Stars wana Twanga Pepeta walikuwapo. Kiukweli siku ya wapendanao kwa eneo hili ilifana sana.
MAMBO YA ESCAPE ONE
ODAMA BAND



WATANGAZAJI WA RADIO CLOUDS WALIAMUA KUPANDA JUKWAANI NA KUIMBA, SITAKI KUSEMA KITU, ALIYEKOSA UTAMU KAKOSA


JUMA KAKERE NA BENDI YAKE









WANANJENJE---NYOTA YULEEEEE AKIFANYA MAMBO YAKE KAMA KAWAIDA

Comments