Sadick Juma Kilowoko...SAJUKI AFARIKI DUNIA

Wasanii wa tasnia ya filamu na wapenzi wa filamu kwa ujumla wameanza mwaka kwa pigo jingine tena kwa kuamka asubuhi hii na taarifa za kusikitisha kuwa msanii ambaye amekuwa na matatizo ya afya kwa muda mrefu na katika kipindi cha siku za karibuni kuwa ICU Muhimbili, Sadick Juma Kilowoko aliyejulikana zaidi kama Sajuko amefariki dunia.
Mungu amlaze peponi pema Amin

Comments

Anonymous said…
Sad news! R.I.P Sajuki
Anonymous said…
Sad news kwa kweli! R.I.P Sajuki.