Awali ili
kuitwa Diva ilikuwa lazima mtu awe
mwanamke muimbaji maarufu na mwenye ‘outstanding talent’, na tena awe katika muziki
wa Opera, huu ni aina ya muziki unaoambatana na mchezo wa kuigiza jukwaani, kwa
siku hizi sifa hii pia wameanza
kupewa wanawake maarufu katika filamu, michezo ya kuigiza na muziki. Neno Diva
liliingia katika lugha ya Kiingereza katika karne ya 19, likitokana na neno la
Kitaliana lililomaananisha Mungu wa Kike. Kwa vyovyote vile Diva lazima awe
mwanamke maarufu katika filamu au muziki. Na sifa hii ni ya kupewa na si
kujipa, ila kwa vile tuko Kibongobongo usishangae mama ntilie nae akajiita DIVA
Comments