MASHUJAA MUZIKA NA JB MPYANA JUKWAA MOJA 30.11.2012

Katika kukamilisha uzinduzi wao wa album ya'Risasi Kidole', Mashujaa Band watakuwa na onyesho kubwa linalotegemewa kufanyika viwanja vya Leaders tarehe 30 November 2012. JB Miana na kundi lake watakuwa jukwaaa moja na bendi hii. Mambo matamu yanakuja.










Comments