KONYAGI WAINUNULIA VYOMBO MSONDO NGOMA

KONYAGI wafanywa maajabu, wawanunulia Msondo Ngoma vyombo vya milioni hamsini na kuvikabidhi kwa bendi leo hii katika viwanja vya Leaders Club, baada ya hapo Msondo walitoa burudani ya nguvu kama kawaida yao












Comments