THE SKYLIGHT BAND MAFICHONI

LEO nimegundua maficho ya hii bendi mpya. Nimewakuta hapo wakiwa bizy wakifanya mazoezi kwa ajili ya onyesho lao la kila wiki pale Thai Village Masaki. Kundi zima hili hapaa
Immaa kwenye Bass Gitaa

Allan Kiso, alipitia awamu ya kwanza ya Mapacha Watatu

Amose, nilisha wahi kumuona Kalunde huyu enzi hizo

Daud kwenye Tumba

Baraka

Athumani kwenye keyboards...hata B Band aliwahi kupitia

Mkongwe Joniko Flower, anajulikana tokea enzi za Chuchu na alipitia Machozi

Sam Machozi ndie huyu

Sonny Masamba si sura ngeni kwa waliowahi kuwa wapenzi wa Diamond Sound

Vyombo vinarekibishwa na Juma



Kushaba- Vocalist na meneja, kwa wale wafuatiliaji wa Tusker Project Fame sura hii si ngeni

Mary Lucas alipitia Borabora Sound na wapenzi wa BSS lazima wanamkumbuka huyu

Comments