FFU ! NGOMA AFRICA BAND KUTUMBUIZA AFRIKA-MESSE,BREMEN


Bendi ya Ngoma Africa band aka FFU,
yenye maskani yake kule Ujerumani, inatarajiwa kutumbuiza katika maonyesho makubwa ya biashara ya kiafrika "AFRIKA-MESSE" Bremen,yatakayofanyika
mjini Bremen,Ujerumani. Ratiba katika maonyesho mawili yatakayofanyika wakati huo itakuwa kama ifuatavyo, Jumatano 12.09.2012 bendi itakua mjini Bremerhaven, na
Jumamosi ya 15.9.2012 Kikosi kazi hiko kitapeleka nguvu zote katika eneo la maonyesho 


Comments