Super Nyamwela atoka Ulaya afikia Muhimbili


 
Leo Extra Bongo leo wamerudi jijini wakitoka katika safari yao ya mafanikio iliyowapeleka kufanya maonyesho katika ya nchi kadhaa za Ulaya, Wakati wanamuziki wote wakielekea nyumbani kupumzika Kiongozi wa Show ya Extra Bongo Musa Hassan aka Super Nyamwela alifikia Muhimbili ambako mkewe amejifungua mtoto wa kike. HONGERA NYAMWELA

Picha kutoka www.extrabongo.blogspot.com

Picha kutoka www.extrabongo.blogspot.com

Comments