Ray azungumzia tatizo jingine kubwa katika tasnia ya filamu

    
Ray Kigosi(Picha toka http://raythegreatest.blogspot.com/)                                   
Swala la wasanii kuuza haki zao kwa wasambazaji ni tatizo kubwa sana, kwani kiutendendaji msambazi anataka haki tu za kusambaza, hivyo kumuuzia haki zote ni kupoteza haki nyingine ambazo msanii angeweza kuzitumia kumuongezea kipato. Kwa mfano fedha za matangazo katika filamu zingekuwa mali ya mwenye filamu ingekuwa hakuuza haki zake zote. Mapato kutokana na filamu kurushwa hewani na haki namna hiyo. Katika hali ambayo ni nadra kuisikia Ray Kigosi amezungumzia hilo BOFYA HAPA

Comments