Ngoma Africa yapokea tuzo la International Diaspora Award


Ras Makunja baada ya kupokea Tuzo




Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya, Ngoma Africa Band siku ya Jumamosi 11,Agosti 2012, walishambulia jukwaa na la International Africa Festival 2012,Tubingen, Ujerumani, na kuhakikishia washabiki kuwa FFU burudani kali ya muziki. Bendi hii ambayo imejizolea sifa kubwa kutokana na uwezo wake wa kulishambulia jukwaa, ilionyesha umahiri wake na hatimae kiongozi wa bendi hii, alipokea tuzo ya kimataifa ya
"International Diaspora Award" kwa niaba ya bendi hiyo.

Comments