Ngoma Africa Band kutumbuiza katika sherehe ya siku ya taifa ya Cameroon


Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "Ngoma Africa Band" aka FFU, inatarajiwa kupanda jukwaani kesho Jumamosi tarehe 26 May, mjini Stuttgart,Ujerumani kutumbuiza
katika sherehe ya siku ya taifa la Cameroon. Ngoma Africa Band watakuwa katika ukumbi wa Arena la  Sportpark Feuerbach, uliopo mtaa 
(Triebweg 85, 70469 Stuttgart) ,Wakamerooni wapatao 5,000 wanaoishi ujerumani pamoja
na maelfu ya wapenzi wa muziki nchini Ujeruamani wanategemewa watajimwaga uwanjani kupata burudani
kamili. Ngoma Africa sasa wanatamba na wimbo mpya "Uhuru wa Habari" ambao unasikika at
https://mail.google.com/mail/images/cleardot.gif



Comments