Meneja wa African Stars Band afukuzwa kazi


Martin Sospeter (kushoto)
Mkurugenzi wa African Stars Asha Baraka ametangaza kumfukuza kazi  Meneja wa Bendi ya African Stars Band bwana Martin Sospeter. Kati ya sababu ambazo zimepelekea Meneja huyo kuchukuliwa hatua hiyo ni pamoja na kinachodaiwa kuwa na mipango ya kushawishi wanamuziki wa bendi hiyo kuhamia bendi nyingine mjini ya Mashujaa Muzika

Comments

Anonymous said…
uonevu na kukurupuka bila kujua kwamba hilo ndio kosa la mwisho la mwanadada "Iron Lady" asiyeshaurika. Utajuta mwaka huu