Steven Kanumba is no more, RIP Kanumba

Katika hali inayoleta mshangao na bumbuwazi, taarifa zilianza kuenea jijini Dar es salaam kiasi cha saa nane na nusu usiku kuwa Steven Kanumba amefariki. Habari ambazo zina uhakika ni kuwa maiti yake ilikuwa tayari imekwishapelekwa mochwari Muhimbili. Sababu ya kifo bado ni utata kwani kuna maelezo kuwa alianguka ghafla, kukiwa na maelezo mengine kuwa kulikuwa na ugomvi kwake.Pamoja na yote Mungu Amlaze Pema Kanumba, tulimpenda lakini Mungu amempenda zaidi.
Steven Kanumba died suddenly around midnight last night. His body is now lying at the Muhimbili Hospital Mortuary. The cause of death has been said was caused by a fight at his home . Rest In Peace Kanumba

Comments

billfmtz said…
Mungu amlaze mahali pema peponi.