| Mary na Winnie |
| Anjelus Limpawe-Keyboards |
| Suleiman |
| Winnie |
| Mary |
| Jose Kasikile |
| Mkombozi Masikini |
| Ramadhani Gojo |
| Hasim Donode |
Borabora Band,hawa wanamuziki mahiri niliwakuta katika eneo la Malaika pale Mikocheni mkabala na Cine Club.
Kila Ijumaa kundi hili huwepo kule Q Bar Oysterbay na Jumapili wapo hapo Malaika wakipimana nguvu na B Band ambayo huwepo nyumba ya pili tu pale CineClub.Ukiwataka piga simu +255713312211
Comments