Umeme ulikatwa saa 8 usiku,katikati ya dansi la Njenje, lakini watu walisubiri mpaka uliporudi saa 9 na kuendeleza raha

Pamoja na TANESCO kuondoa umeme katikati ya maraha ya dansi, kiasi cha saa 8 na robo usiku, wapenzi wa muziki katika ukumbi wa Salender Bridge hawakuondoka mpaka uliporudi karibu saa nzima baadae. Na burudani iliendelea kwa msanii Anania Ngoliga kupanda jukwaani kisha Kilimanjaro Band ambao ndio walikuwa wenyeji na hatimae East African Melody ambao walimaliza raha ya usiku huo na kuwaacha wapenzi wakiwa bado wana kiu cha kuendeleza starehe.

Comments