Rais wa Shirikisho la Filamu(TAFF), Simon Mwakifwamba afiwa na mwanae

Katika mazishi yaliyotia majonzi makubwa Bwana Simon Mwakifwamba leo amemzika mwanae Benjamin ambae alikuwa na umri mdogo wa miaka mitano tu. Pole sana Simon na Mama Benjamin. Mungu alitoa na Mungu ametwaa Jina la Bwana Lihimidiwe

Comments