Sugu na Ruge wapatanishwa

Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Mhe. Dr Emmanuel Nchimbi na Mbunge wa Singida Mashariki Mhe Tundu Lisu wamefanikiwa kumaliza mgogoro uliodumu kwa zaidi ya miaka miwili kati ya Mbunge wa Mbeya Mjini Mh Joseph Mbilinyi na Mkurugenzi wa Clouds Media Rugemalila Mutahaba


Comments