The Q Band kazini

Katika pita pita nikawakuta Q Band wako jukwaani pale Cine Club wakiwa chini ya Bi Leah Muddy, wakiporomosha mchanganyiko maalum wa vibao. Kwenye drums alikuweko Kejeli Mfaume mmoja wa wanamuziki waanzilishi wa Tancut Almasi Orchestra, Still going strong!!!!






Comments