FM Academia

Jana nilipita katika ukumbi wa New Msasani Club, hapo nimewakuta FM Academia wakiangusha show ya nguvu, iliyokuwa wazi ikiwakonga wapenzi wao. Ukumbi huu ambao awali ulikuwa ni wavumbi tupu, sasa umeendelea kufanyiwa ukarabati na kuongezeka ubora, huku Masebene yakiangushwa moja baada ya jingine na bendi hii ambayo inastahili sasa kuitwa kongwe. Big Up FM Academia





Comments