Dar Modern Taarab

Leo nimewatembelea Dar Modern Taarab, wakiwa katika sehemu yao ambayo wanapiga kila Jumanne, pale Copa Cabana Mwananyamala. Wiki ijayo tarehe 2 March 2012, watazindua album tatu kwa mpigo pale Traventine Hotel Magomeni, kwa kiingilio cha shilingi 8,000 tu, na hapo unapata na CD moja. 
Nilipita kuwasikiliza , wanastaili mpya kwa kweli katika Taarab, pia naona wanavyombo vipya kabisa basi muziki ni very clear. Wakongwe Sharif na Mridu naona bado wanapeperusha bendera










Comments