The B band

Kila Jumapili mchana Banana Zollo na B Band huwa pale Cine Club wakiporomosha variety kubwa ya muziki, kuanzia ule wa zamani maarufu kama zilipendwa, mpaka muziki ulioko katika chati za siku hizi. Wakisindikizwa na mkongwe na mmoja ya wapiga gitaa mahiri Tanzania Maneno Uvuruge B Band ina raha zake sana
Ashura Kitenge na Maneno Uvuruge

Michael


Idrisa Kunde

Daudi Ngedele

Goddy

Banana Zoro

Vasmo Onesmo

Ashura Kitenge

Anette Kushaba

All Mtama

Comments