Mheshimiwa Waziri Dr. E Nchimbi akiwa na Naibu wake kwenye uzinduzi huo. |
Mheshimiwa Waziri wa Utamaduni, Habari na Michezo Mheshimiwa Dr E Nchimbi, leo katika ofisi yake amezindua kamati ya vazi la Taifa.
Kamati hiyo ina wajumbe wafuatao;
1. Joseph Kusaga- Mkurugenzi Clouds Media, Mwenyekiti wa Kamati
2. Habib Gunze - Mkurugenzi wa Utangazaji wa TCRA
3. Joyce Mhavile - Mkurugenzi Mtendaji ITV na Radio One
4. Absalom Kibanda - Mhariri Mtendaji wa magazeti ya Tanzania Daima na Sayari
5. Makwaiya wa Kuhenga - Mtunzi wa vitabu, mwandishi na mwendeshaji wa kipindi cha Je, Tutafika?
6. Mustafa Hassanali- Mbunifu wa mavazi
7. Ndesamburo Merinyo - Mbunifu wa mavazi
8. Angela Ngowi - Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Utamaduni, Katibu wa Kamati
Mwenyekiti wa Kamati Joseph Kusaga (kulia) akiwa na baadhi ya wanakamati |
Comments