Wapiga drum wawili wafiwa na dada yao Posted by jfk on October 06, 2011 Get link Facebook Twitter Pinterest Email Other Apps Wapiga drums Martin Kibosho wa Extra Bongo, na James Kibosho wa Twanga Pepta,wamefiwa na dada yao Beatrice Kibosho aliezikwa katika makaburi ya Mburahati jana 6/10/2011 Comments
Comments