Ngoma Africa wanatesa Ghana


The Ngoma Africa Band, bendi toka Tanzanian yenye makao  Ujerumani inaongozwa na mwanamuziki machachari Ebrahim Makunja aka Ras Ebby Makunja, kwa sasa iko Ghana.
The Ngoma Africa band imejipatia jina katika matamasha mbalimbali na  kwa kupitia mtindo wao wa "Bongo Dance" wamekuwa wanawatia kichaa wapenzi wa muziki kila waendapo. Nyimbo zao nyingi ni za Kiswahili na bendi inawanamuziki wakali kama mpiga solo Christian Bakotessa aka Chris-B, wengine ni Said "Jazbo" Vuai,Severn Okomo, Maxime Vayituma, Willy Mbiya, Bedi Beraca, Prince Zongolo

Ngoma Africa band imepewa jina la "The Golden Voice Of Africa"  ukitaka kusikia ngoma zao fungua www.ngoma-africa.com au www.facebook.com/ngomaafrica

Comments