Haji Ramadhani awa mshindi wa kwanza BSS 2011


Haji Ramadhani

Rogers Lucas
Waziri Salum
 Katika fainali zilizofanyika usiku wa kuamkia leo pale Diamond Jubilee jijini Dar, Haji Ramadhani amekuwa mshindi wwa kwanza na amefanikiwa kunyakua kitita cha shilingi mil 40 baada ya kutwaa taji la Bongo Star Search 2011.Mshindi wa pili akiwa Rogers Lucas na Waziri Salum akichukua nafasi ya tatu. Blog hii inawapa hongera wooote

Comments

Anonymous said…
I'm gone to convey my little brother, that he should also visit this web site on regular basis to get updated from hottest gossip.
Also visit my web blog ; grumpy cat