Mambo Afrika Band


Mambo Afrika Band in bendi ya watu wawili ambao hutumia muziki wa sequencer katika kutoa burudani, nao si wengine bali ni Kadet Bongoman na Tabu Mambosasa, niliwakuta wakiwa katika hotel ya Concord maeneo ya Kariakoo. Ilikuwa rahaaa. Tabu kama ilivyo kwa Kadet walianza muziki kama wacheza show kwa sasa ni waimbaji mahiri sana

Comments