Wazee wa mjini

Assossa na Kasongo

King Kiki


Kasongo Mpinda Clayton

Ben

Tchimanga

Kabeya Badu



Kila Jumatano katika ukumbi wa Mzalendo, Millenium Tower wanamuziki wa zamani, wengi wao wakiwa wa asili ya Kongo wamekuwa wakiporomosha muziki wa enzi hizoooo.Miamba kama King Kiki, Tchimanga Assossa, Kasongo Mpinda huporomosha muziki hapo, vibao kama Safari yetu Mbeya(Maquis), Kibela(MK Group), nyimbo mbalimbali za Safari Sound, Kasheba Group, Zaita Muzika na bendi nyingine nyingi husikika hapo ni burudani kwa wapenzi wa muziki wa enzi hizo

Comments

Anonymous said…
Kitime! "hakuna kitu kigumu kama uzee hapa duniani. laiti kamaningelipata mtu wa kunishikia uzee wangu asingeniona tena" hayo ni maneno ya bibi wa kirombo hapa rombo. ninaoa uhalisia wake.