Uongozi wa juu wa Clouds Entertainment ulikuwa sambamba

Joseph Kusaga Mafumu Bilali na Juma Ubao

Kama kawaida yao TANESCO walikata umeme ikawa ni  muda wa kutia stori, Joseph Kusaga, Ruge Mutahaba, top management ya Clouds ambao ndio wafadhili wa shughuli yote ya recording na onyesho la kundi hili tarehe 22 July pale Salender Bridge,walichukua muda wao na kuwepo katika eneo la studio


Ruge akiwa na Babu Njenje

Ruge na Waziri Ally

Comments