Kalunde Band wakiwa Giraffe Ocean View Hotel

Kundi la Kalunde limekuwa sana kuanzia pale lilipokuwa na wanamuziki wachache chini ya Deo Mwanambilimbi miaka kadhaa iliyopita. Lazima sifa zitolewe maana makundi mengi yameanza tena kwa kishindo na kuishia hewani lakini hili limekuwa linakuwa kila mwaka. Kuingia kwa Bob Rudala na Anania Ngoliga kutaendeleza sana uwezo mkubwa wa kundi hili.
Anania Ngoliga na Bob Rudala

Bonny Kamprobo


Edson

Othman Majuto, mwanaye King Majuto

Mwakichui

Kachumbari


Mwakichui na Deo Mwanambilimbi

Vero

Aminata

Rudala kwenye drums

Deborah Chacha


Anania na Deborah

Anania Ngoliga



Comments