The Excel Band

Juma Gohela yupo stejini tangu enzi za Atomic Jazz
Nilipita mitaa ya Rufita kuleee Tabata nikasikia wimbo wa Dr Remmy 'Mashine', hapa nikakuta bendi inapiga nyimbo nyingi za Matimila, kama ulikuwa unampenda Dr hii ni bendi ya kwenda kupitia. Hapo nilimkuta mpiga drum wa Dr Remmy akiwa ndiye kiongozi wa bendi, mwanae Remmy ni mmoja wa waimbaji wa bendi hii

Musa Magoha

Sugwa- kiongozi wa bendi

Mlokole

Zozo Stewart alikuweko enzi za Kimulimuli



Freddy Siage wa enzi za Mwenge, Maina alikuja akitokea kwenye bendi yake


Mwanae Remmy, Maina


Comments