DANNY MWAKITELEKO HATUNAE TENA


MHARIRI wa gazeti la Rai, ambaye pia ni Naibu Mhariri Mtendaji wa New Habari, Danny Mwakiteleko ,hatunae tena Mungu amempenda zaidi. Mwakiteleko amefariki leo alfajiri katika hispitali ya Muhimbili. Mwakiteleko alilazwa katika kitengo cha watu mahtuti Muhimbili baada ya ajali aliyoipata juzi usiku (jumatano) eneo la Tabata (ToT), katika ajali hiyo gari alilokuwa akiendesha Mwakiteleko aliingia chini ya  lori lililokuwa kando ya barabara. MUNGU amlaze pema
 Amen

Comments