Schengen Band wakiwa Mango Garden Kinondoni

 

Nilipoingia tu katika ukumbi  wa Mango Jumapili nilikaribisha na Bingwa wa salamu wa zamani ambae kwa muda mrefu amekuwa rapa katika bendi mbalimbali na sasa ameanza hata kuimba katika kundi hili la Schenge nae si mwingine ila ni Loboko Lobi Papaa





Mwendapole fundi mitambo karithi kipaji cha marehemu baba yake


Rais wa Bendi Liva Hassan




Comments