Muimbaji mpya wa TOT Omary Ally

 Omary Ally ni kijana mdogo ambae ameanza kuimba karibuni katika kikundi cha Taarab cha Tanzania One Theatre. Pamoja na kuwa ni bado mchanga katika fani, Omary anaonekana wazi atakuwa tishio kwa wanamuziki wengine vijana katika fani hii.

Comments