Lady JD and The Machozi Band

Ilikuwa raha kama kawa Mzalendo Pub ambapo Machozi Band huwa na maonesho kila Ijumaa, mwanamuziki muimbaji mahiri Lady JD akiwa na kundi lake zima la Machozi Band waliweza kuwapeleka wapenzi wa muziki katika safari ya kimuziki ya kona mbalimbali duniani, muziki toka Afrika , Ulaya, Amerika na raha pia kwa wapenzi wa muziki wa Reggae, mduara, rhumba, soukus alimradi kila mtu alipata dozi yake. Kila Alhamisi kundi zima liko NYUMBANI LOUNGE. Kukosa ni kosa












Comments

Anonymous said…
the best of the best.....jide thumbs up for u lady...