The East African Melody Lango la Jiji

Si vikundi vingi vinavyoweza kufanya maonyesho siku ya Jumatatu, hasa kwa kuwa ni wazi vitakosa watu, lakini East African Melody hufanya onyesho Jumatatu katika ukumbi wa Lango la Jiji Magomeni na kwa kweli ni sawa kabisa kusema huwa hakuna hata mahala pa kutema mate. Muziki safi . mirungi kwa wingi mabinti wamevaa kila aina ya nguo basi ni burudani sana. Bi Mkubwa Mwanahawa alikuweko katika onyesho la kundi hili ambalo liliwahi kutikisa jiji na kibao chake KINYAGO CHA MPAPURE








Comments