BJ band

King Maluu alikuwa katembelea BJ Band pia


Michael Liloko



Juma Kakere




BJ Band huporomosha muziki kila Ijumaa pale Bussiness maeneo ya Victoria. Kundi zima chini ya uongozi wa Juma Kakere huleta muziki mchanganyiko ukisindikizwa na nyimbo zilizoutunzi wa Juma Kakere mwenyewe.

Comments