Washindi wa Tuzo za Kilimanjaro Music Awards 2011 watangazwa rasmi leo

Kilimanjaro Premium Lager na BASATA leo wametangaza rasmi washindi wa Kilimanjaro Music Awards 2011. Na katika shughuli hiyo pia imetangazwa ratiba ya wasanii hao katika maonyesho yatakayokuwepo katika mikoa mitano ya Tanzania ambayo ni Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya, Dodoma na Moshi. Kwa maelezo zaidi BONYA HAPA

Comments