Wanamuziki wa zamani mazoezini tayari kwa kuingia studio

Kundi la wanamuziki wakongwe limeingia kambini tayari kwa kufanya onyesho lao la Sabasaba kama walivyofanya mwaka jana, na pia mazoezi  tayari kwa kutoa album ya miaka 50 ya UHURU. Wanamuziki hawa ambao wanafanya mazoezi katika eneo la mazoezi la Kilimanjaro Band, watakuwa mazoezini kila Jumatatu, Jumanne na Jumatano kuanzia saa 4 asubuhi hadi  saa 11 jioni.
Mzee Sangula Bass


Mafumu Bilali

Kanku Kelly

Hamza Kalala


Kasongo Mpinda Clayton

Mzee King Kiki

Comments

Anonymous said…
Pongezi sana kwenu wanamuziki wakongwe kwa haua hiyo. Napendekeza kwamba kwakuwa muziki huu ni wawakongwe na wenye ladha adhimu. Kama inawezekana INGEREKODIWA PIA KIZAMANI KTK STUDIOZA TBC ambapo bend inaingia studio na kufanya kama wanapiga dansi. Keppy ungepata kujua zamani wakina james muhilu na Chriss lugongo walifanya nini. Warekodi pia na club raha leo show irushwe kwenye vituo mbali mbali. Itapendeza