Sakama live Show Band jukwaani leo Brighton


Kwa wale wa Uingereza .............Kundi zima la Sakama live Show Band leo litakuweko katika  ukumbi wa  The Komedia, Brighton UK, Kuanzia Saa 1.30 na nusu usiku (7.30 pm), kiingilio ni  £10/£12, kukosa ni kosa. Njoo uinjoy music na kukutana na marafiki



Comments

Anonymous said…
Ndugu Kitime,
asante kwa kutuletea habari mbali mbali zihusuzo muziki na utamaduni kwa ujumla.Ombi au swali langu ni kutaka kujua hii bendi uliyotuonyesha hapa juu kuwa atapiga show yake London inaitwaje?na Je ni bendi ya kikongo au kitanzania ??na wanamuziki hawa ni akina nani??Maana naona umetuacha kwenye mataa kwa kuleta habari hii ikonyesha kuwa nusu nusu.asante
mdau.Bongo Land.
Anonymous said…
Band hii ina itwa Sakama Live Show Band, Ni mchanga nyiko wa wana musik kutoka Bara la Africa, Lakini Kiongozi wa Band hii ni Mtanzania Kwa jina ni David Sijale(Diesel), Ambae ana ishi UK, nakuna Watanzania Watano katika Band hii. Jibu ni kwamba Bandi hii ni ya Africa Mzima na sio ya kikongo, na wala Sio Tanzania peke yake ni Band ya Afrika,Kwa hiyo nadhani nime jaribu Kujibu Swali lako Mdau, Bongo Land, Thanks god bless Onne Love