Jane Mrema azindua album yake Piga makofi

 Mwimbaji Janet Jonas Mrema alizindua album yake yenye nyimbo kumi katika ukumbi wa Blue Pearl Hotel, Ubungo. Katika sherehe iliyofana ambayo mgeni wa heshima alikuwa Mheshimiwa Samwel Sitta(MB). Mheshimiwa Sitta amekuwa msaada mkubwa kwa wanamuziki wengi wa Muziki wa Enjili kwa miaka mingi sasa. Wasanii waliokuweko katika  katika raha hiyo ni pamoja na The TM Music, Stella Joel, Addo November, Kanuni Kayombo Christina Shusho, Stara Thomas, Upendo Nkone  na wengine wengi ilikuwa raha tu.


Christina Shusho, Upendo Nkone na Stara Thomas

Upendo na Stara

Mchungaji Rwegasira Shusho Mheshimiwa Sitta

Kulia Janet Mrema

Upendo, Shusho na Saida Mwilima mtangazaji wa Star Tv

The TM Music Choir

 Picha ya pamoja




Janet Mrema na Saida Mwilima

Comments