Bonanza Leaders Club

Kila Jumapili mchana kunakuweko na kitu kinaitwa Bonanza pale Leaders Club. Bendi ya African Stars International, maarufu kama Twanga Pepeta ndo huwa inatumbuiza hapo kama kawaida huwepo wao na wapenzi wengine mbalimbali wa muziki

MCD
Twanga kwa nyuma

Victor Mkambi

Shakashia na Luiza

Kimobitel kamoon

Zungu mcheza show wa Twanga amabaye ni mtoto wa mmoja wa wanamuziki wapiga gitaa wa Afro70. Salim Willis

Kocha wa Dunia

Rapaaaaaaaaaaaa

Comments