ETI FILAMU SIO SANAA?

Kuna watu  wenye busara na wanaoaminika hapa Bongo wanadai Filamu sio sanaa.  Wenyewe walioanzisha fani hiyo na wenye uzoefu mkubwa wanaiita ni sanaa,  na pia kusisitiza kujenga taratibu ili sanaa hii ifundishwe mashuleni kwao kuanzia shule za awali. Je tutawakuta hawa kweli kwa msimamo huo? ….. 
 Under new proposals, children would be schooled in the history of British film and be taught about the mechanics of film-making in order to encourage a new generation of scriptwriters, directors and behind-the-camera technicians.
“Unlike other art forms - literature, theatre or music, for example - film has yet to find its rightful place in education,” said the government-commissioned report into the future of the British film industry….Habari yote BOFYA HAPA
Kwanini hapa Bongo filamu inaitwa si sanaa? Je ni kwa kutokuelewa fani? Au kwa kuogopa kuwa filamu ikiitwa sanaa italazimika kuwa chini ya BASATA hivyo baadhi ya watu kuona wadhifa wao utashuka? Maswali ni mengi sana kwanini kuna msimamo huu wa ajabu? Soma hapa baadhi ya mitizamo duniani





Comments