FFU wa NGOMA AFRICA BAND WAPANDA TENA JUKWAANI UGHAIBUNI, BAADA YA MAOMBELEZO YA KIFO CHA SWAHIBA WAO IRAKI HUDU(RIP)

Bendi ya Muziki wa dansi Ngoma Africa band alimaarufu  " FFU-Ughaibuni"  walipanda tena jukwaani jumamosi ya 21 Juni 2014 katika Ditzenbach Festival,nje kidogo ya mji wa Frankfurt,kule Ujerumani.
Bendi hiyo maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya yenye makao yake nchini Ujerumani ilikuwa katika maombolezo ya siku saba kutokana na kifo cha layekuwa Swahiba wao wa karibu bondia mkongwe hayati IRAKI HUDU aka Kimbunga(RIP) ambaye alifariki 13.Juni 2014 mjini Dar-es-salaam. Baada ya maombolezo hayo bendi hiyo sasa inaendelea na taratibu zake za maonyesho huko ughaibuni.
JOJO SOUZA


MATONDO

FFU JUKWAANI

 

Comments