WALIOTEULIWA KILIMANJARO MUSIC AWARDS-KIKWETUKWETU

Mratibu wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013,kutoka BASATA Bwana Anjelo Luhala akitangaza majina ya walioteuliwa kuingia kwenye mchakato wa tuzo hizo zinazotarajiwa kufanyika Juni 8, 2013, Mlimani City jijini Dar.

WIMBO BORA WA MWAKA 

Dear God - Kala Jeremiah 
Leka dutigite - Kigoma all star 
Mapito - Mwasiti Feat Ally Nipishe 
Me n U - Ommy Dimpoz Feat Vanessa Mdee 
Pete- Ben pol 

MSANII BORA WA KIUME 
Ben Pol 
Diamond 
Linex 
Mzee Yusuf 
Ommy Dimpoz 

MSANII BORA WA KIKE 
Isha Mashauzi 
Khadija Kopa 
Lady Jaydee 
Mwasiti 
Recho 

MSANII BORA WA KIKE - TAARAB 
Isha Mashauzi 
Khadija Kopa 
Khadija Yusuph 
Leila Rashid

MSANII BORA WA KIUME - TAARAB
Ahmed Mgeni 
Hashim Said 
Mzee Yusuf 

MSANII BORA WA KIUME - BONGO FLAVA 

Ally Kiba 
Ben Pol 
Diamond 
Linex 
Ommy Dimpoz 

MSANII BORA WA KIKE - BONGO FLAVA 
Linah 
Mwasiti 
Recho 
Shaa 

MSANII BORA WA HIP HOP 

Fid Q 
Joh Makini
Kala Jeremiah
Profesa J
Stamina


Comments