Sinza Sound Band

Kulia Havily Shaaban, kushoto Ahmad Manyema

Hassan Zinga

Rama Koa

Havily na Mzee Manyema
Sinza Sound Band ni 'resident band' ya Johannesburg Hotel iliyoko Sinza Mori. Kila Ijumaa, Jumamosi na Jumapili, bendi hii huporomosha muziki kwa ajili ya wageni wanaotembelea hotelini hapa. Bendi hii hupiga muziki wa aina mbalimbali, nilipata bahati ya kukaribishwa kwa wimbo wa Ngalula(Maquis Original), Masafa Marefu(Tancut Almasi),Christina Bundala(DDC Mlimani Park), Nakupenda Cherie(Simba wa Nyika) nikabaki napata raha ya nyimbo nyingi nilizozipenda.

Comments