tag:blogger.com,1999:blog-90100208311249489722024-02-18T17:35:29.972-08:00Sanaa na wasanii TanzaniaBlog ya picha na maelezo kuhusu vikundi na wanamuziki mbalimbali katika kazi zaojfkhttp://www.blogger.com/profile/09986950581734789613noreply@blogger.comBlogger734125tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-66004253378879219772018-02-19T11:14:00.003-08:002018-02-19T11:14:47.274-08:00DIAMOND PLATNUMZ AITWA NA NYOTA YAJAA <div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh6L1Ys-Ql9n_PGjU0pfYML16Bizsq3AQaw5CsAmXhDGYZ1UN6bK7WtGYE68Ag8awR_VJ4sPTMG4RDY3lgMkMQQ_6t-C3XGdGiZNbSHC42cNocXn7htzTnI7Vzct268puOw6vPM6zCGzah0/s1600/Nisharizia_cover31.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1600" data-original-width="1067" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh6L1Ys-Ql9n_PGjU0pfYML16Bizsq3AQaw5CsAmXhDGYZ1UN6bK7WtGYE68Ag8awR_VJ4sPTMG4RDY3lgMkMQQ_6t-C3XGdGiZNbSHC42cNocXn7htzTnI7Vzct268puOw6vPM6zCGzah0/s640/Nisharizia_cover31.jpg" width="426" /></a></div>
<br />
<br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Na Richard Mwaikenda, Goms</span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">MSANII chipukizi wa muziki wa kizazi kipya Bakari Omari Bwere 'Nyota ya Yajaa' amesema anatamani akutane na msanii nguli Abdul Naseeb 'Diamond Platnumz' ampige tafu ili asonge mbele kimuziki kama alivyo yeye.</span></span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Nyota ya Yajaa ambaye yuko mbioni kuibua kibao chake kipya cha Nisharizia , amesema anafanya mipango ya kumuona Diamond ili amsaidie kumvusha katika hatua aliyopo kwenda kwenye mafanikio.</span></span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Msanii huyo ambaye makazi yake yako Gongo la Mboto (Goms) ana ndoto ya siku za mbeleni kuwa mmoja wasanii maarufu Tanzania na nje ya nchi, kama alivyo Diamond.</span></span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Hivi sasa yupo mbioni kuachia video ya wimbo wa Nimeridhia aliofanya pamoja na PNC wenye vionjo vya mapenzi baada ya kuachia audio siku ya Valentine Day.</span></span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Nyota Yajaa ambaye yupo chini ya usimamizi wa NYOTA ENTERTAINMENT, ambayo ipo chini ya umiliki wa nyota yajaa mwenyewe,</span></span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Ameahidi makubwa kupitia video hiyo inayokuja akiamini italeta ushindani mkubwa kwenye soko la muziki nchini Tanzania, Pia amezungumzia ujio wa wimbo wake mpya utakayofuata baada ya Nisharizia.</span></span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Nyota yupo mbioni kufanya Kolabo wasanii wakubwa wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Tanzania, Nyota alidai nimapema sana kuzungumzia kolabo hiyo na Mkali huyo wa miondoko ya Bongo fleva nchini Tanzania. </span></span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">kikubwa alisema mashabiki wakae mkao wa kula kwani hata waangusha.</span></span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Mbali na muziki NYOTA ENTERTAINMENT pia inasimamia kazi za maigizo za nyota yajaa na wasanii wengine chipukizi waliopo ndani ya Lebo hiyo.</span></span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Nyota yajaa amefanikiwa kuachia filamu kama NIPE RISITI,MAPENZI MAJINI,KUTEKWA KWA ROMA,KABAKA KUKU, JINSIA GANI, N.K.</span></span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-size: large;">Akishirikiana na wasanii wakongwe kama Mzee Majanga, Ringo, Dula Matenda,N.k.</span></span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><span style="font-size: large;"><br /></span>
</span><span style="font-size: large;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Kutazama Kazi za NYOTA ENTERTAINMENT <a href="https://www.youtube.com/channel/UCWFfp-FHOkG5rUaFWSotRbg">BONYEZA HAPA</a></span></span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDx6eCvTMM5pavoz7ZkI6cAaw3Qg0PMQhuTiToGJdvkFGtPISFJoBCxEbEJuPbAzQSwgHY-Y2sECtjmNYu7XbEiFjsN6HoSSsz-8yJfvP3bFQ0SjrjKhQ1Gqwvgi1zcWIirqVrR2gWpNO1/s1600/s7_out.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1600" data-original-width="1067" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDx6eCvTMM5pavoz7ZkI6cAaw3Qg0PMQhuTiToGJdvkFGtPISFJoBCxEbEJuPbAzQSwgHY-Y2sECtjmNYu7XbEiFjsN6HoSSsz-8yJfvP3bFQ0SjrjKhQ1Gqwvgi1zcWIirqVrR2gWpNO1/s640/s7_out.jpg" width="426" /></a></div>
<div style="background-color: white; border: 0px; color: #444444; font-family: georgia, "times new roman", serif; font-size: 16px; margin-bottom: 15px; padding: 0px; vertical-align: baseline;">
<br /></div>
</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-71467945742372016432017-12-02T05:35:00.001-08:002017-12-02T05:35:52.508-08:00Ratiba Ya wiki ya Orginal Dar Musica <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiS34T7VnK7PwHXdM7iDX8Z9KRRcl2eq-WXdQnS8gJX3zVwq8kGI7AQZW8eZxd0GiaZqHFD1Un5K4LVqZ8q4xtDNS3TC_CnDyLHoUDPy_rd5MyKDHCWPg_MZmu4CT8YJi9kOnUU4kC6QxQ/s1600/download.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="259" data-original-width="195" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiS34T7VnK7PwHXdM7iDX8Z9KRRcl2eq-WXdQnS8gJX3zVwq8kGI7AQZW8eZxd0GiaZqHFD1Un5K4LVqZ8q4xtDNS3TC_CnDyLHoUDPy_rd5MyKDHCWPg_MZmu4CT8YJi9kOnUU4kC6QxQ/s1600/download.jpg" /></a></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Ratiba Ya <b>Orginal Dar Musica </b>chini Ya Mkubwa Jado FFU Mlezi wa Wana, Power Bank, Kichwa Cha Treniiiii, Mbishi wa Maisha, Asiyeogopa Vita,</span></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><br /></span></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"> Kila Jumatano Club Kwetu Pazuri Tabata</span></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><br /></span></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Alhamisi Ni Palm View Kigogo </span></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><br /></span></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Ijumaa Ni Monie Yombo Jet Lumo Kwa Jimmy Ajent </span></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><br /></span></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Jumamos Ni Itungi Lounge Vingunguti </span></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><br /></span></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Jumapili Ni Friends Pub Segerea Bonanza </span></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><br /></span></div>
<div dir="auto" style="background-color: white; color: #222222;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Karibun sana Wadau Wote Mcheze Kibos Bos</span></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-8805700608532627572017-11-11T02:44:00.003-08:002017-11-11T02:44:58.965-08:00AWAMU YA TANO;;;KILIO CHA WASANII KILE KILE TOKA AWAMU YA KWANZA<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjdXqtwSs6-RcMvwkBHlhBhIlgd7kZI_UDBjtPmRUpkWrivTVg7OYc8iIYfo_w3hQo-pk98egYxXGH94edbnaPkYsmPdzPZbq4tqKHc7Q2k1JR0YYQNiLNlWG1MEHEpK6u3rThGVBmBS80/s1600/ScannedImage-4.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="1600" data-original-width="1258" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjdXqtwSs6-RcMvwkBHlhBhIlgd7kZI_UDBjtPmRUpkWrivTVg7OYc8iIYfo_w3hQo-pk98egYxXGH94edbnaPkYsmPdzPZbq4tqKHc7Q2k1JR0YYQNiLNlWG1MEHEpK6u3rThGVBmBS80/s640/ScannedImage-4.jpg" width="502" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: small;"><b>Gazeti la mwezi March 1976</b></span></td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Ni miaka
miwili ya awamu hii ya serikali, katika kipindi hiki watu na makundi mbalimbali
yanajaribu kuangalia ni nini kimefanyika kuhusiana na kila sekta ambayo mtu au
kundi linawahusu. Kama msanii nami najaribu kuangalia kilichotokea katika fani
yangu?<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Katika
sanaa, mambo kadhaa yametokea, katika kipindi hiki tumekuwa na Mawaziri wawili,
Mheshimiwa Nape na sasa Mheshimiwa Mwakyembe, pia tumekuwa na Naibu mawaziri wawili, Makatibu wakuu wawili.
Wizara yetu pia imekuwa katika msafara wa kuhamia Dodoma. <o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Vilio vya
wasanii vimekuwa vilevile ambavyo tulikuwa navyo 1987, vilio vya wasanii
kulalamika ukosefu wa kulindwa kwa haki zao za kiuchumi, vilio vya kudai maeneo ya kufanyia
kazi za sanaa, vilio vya kudai ruksa ya kulipa kodi, vilio vya kudai punguzo la
kodi kwenye vitendea kazi, vilio vya kudai serikali kutengeneza mfumo mzuri wa
utawala wa sanaa na utamaduni, vilio vya kudai kurudishwa masomo ya sanaa
kwenye ratiba za shule, vilio vya kutaka serikali za mitaa kutenga maeneo ya
shughuli za sanaa kwenye kila kata. Kwa kifupi kwa msanii wa kawaida hakuna
jipya. <o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Katika
mkutano wake wa kwanza na wasanii ambao walishiriki katika kampeni za uchaguzi,
mkutano uliofanyika Ikulu siku ya Alhamisi
February 18 2016, Rais John Pombe
Magufuli alizungumzia swala la wizi wa kazi za sanaa, na wasanii walishangilia pale
alipoiagiza TRA kukamata kazi zote zisizo na stika za kuonyesha uhalali wa kazi
hizo, hatua ambayo ingeiwezesha serikali kupata kodi yake kutokana na kazi
hizo, na wasanii kupata stahiki yao. Haina haja ya kuwa na macho ya ziada kuona
kuwa biashara ya kazi za sanaa, za muziki na filamu zisizo halali zinavyoendelea
bila kificho. Tukio moja la Waziri kutembelea maduka ya kazi za sanaa zisizo na
stika katika eneo la Kariakoo na maandamano ya wasanii chini ya MKuu wa Mkoa wa
Dar es salaam yamebakia kuwa matukio yaliyoishia magazetini hakuna mabadiliko
yoyote katika biashara hiyo. <o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Vyombo vya
utangazaji ni sehemu moja muhimu ya pato la wasanii kutokana na vyombo hivi
kulipia mirabaha kwa kazi mbalimbali zilizotumiwa na vyombo na kuingiza kipato.
Vyombo vya utangazaji nchini vikiongozwa na chombo cha utangazaji cha serikali
TBC, ambacho kipo chini ya Waziri yuleyule wa wasanii, vyote havilipi mirabaha,
kwa lugha nyingine serikali nayo imo katika kuwanyima wasanii haki yao, hakuna
dalili zozote kuwa hili litabadilika karibuni.<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Kitu ambacho
ni nadra kukiona ni sehemu maalumu za wasanii kufanyia kazi zao. Maeneo
yaliyokuwa yametengwa kwa shughuli vijana kwa ujumla yaliwekwa kwa mara ya kwanza wakati wa ukoloni na baadae yakaongezwa
wakati wa awamu mbili za kwanza za uongozi wa nchi hii, karibu yote
yamebadilishwa matumizi. Kumbi za maonyesho ya sanaa zimegeuka kumbi za
mikutano, na kumbi nyingine kubomolewa na kujengwa sehemu za biashara nyingine,
na jambo la ajabu hata kwenye ramani za miji mipya sehemu hizi hazipo, wasanii
tunajiuliza hawa wachora ramani wasomi sana, hawajui kuwa sehemu za kutuliza
akili ni muhimu sana kwa maendeleo ya jamii? Au kwa wachoraji hawa, sehemu za
kutuliza akili ni baa peke yake? Utakuta katika mipango ya miji ramani mpya zinakosa
hata sehemu za kucheza watoto, Je jamii mpya ni ya watu wazima ambao hawatakuwa
na watoto na pia hawapendi kupumzika? Moja ya haki muhimu ya mtoto ni haki ya kucheza,
hivyo ni unyanyasaji pale unaponyang’anya eneo la kucheza watoto au pale ambapo
hutengi kabisa eneo la kucheza watoto. Katika awamu ya kwanza na ya pili
kulitengwa sehemu nyingi zikiitwa social halls, na kulikuweko na nyingi
zilizokuwa zikimilikiwa na Umoja wa Vijana wa CCM. Sehemu hizi ziliwezesha vijana
kukutana na kufanya mengi, nyingi ya sehemu hizi zimekwisha geuzwa matumizi na
kuwekwa biashara nyingine, na maarufu kama vitega uchumi. Imesahaulika kabisa
kuwa sehemu hizi zilikuwa ni sehemu muhimu sana kutega vijana wapya ambao
walikuja kuwa wanachama wa kweli wa Umoja wa Vijana.<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;"> Swala la Wizara ya utamaduni kutokuwa na
watendaji katika Mikoa na Wilaya ni pengo la wazi katika kukosa wawajibikaji
katika utekelezaji wa sera na maamuzi ya Wizara. Mikutano mingi na matukio
mengi ya kiserikali yanayohusu wasanii huishia kufanyika Dar es Salaam tu, na
hakika ikiwa serikali ina hitaji kubadilisha
hali ya wasanii nchini ni lazima kusuka mfumo ambao utaanzia ngazi za
chini, mfumo wa sasa wa Maafisa Utamaduni kuwa Wizara tofauti na Wizara ya
Utamaduni kamwe hautasaidia kulinda, kukua na kuendelea kwa sanaa na utamaduni.
<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Ili kufanya
vizuri katika sanaa kwenye dunia hii ya ushindani ni muhimu kuwekeza katika
elimu ya sanaa. Mitaala ya elimu hii, kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari
ipo lakini imebaki kwenye makabrasha. Muda wa kuhakikisha masomo ya sanaa
yanarudi umefika. Kauli mbiu ya Tanzania kuwa nchi ya viwanda itatekelezeka pia
kwa kuangalia kwa upana zaidi mahitaji ya viwanda. Mali zitakazotokana na
viwanda zinahitaji pia mkono wa wasanii. Kuna hitajika wachoraji wa kubuni sura
mpya za mali zitokana na viwanda vyetu ili kutambulisha utofauti wa mali zetu.<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Kama ilivyo
kwenye Tanzanite, pamoja na Tanzania kuwa na wachonga vinyago wengi lakini
taratibu kuna nchi jirani inaanza kuwa maarufu kwa kuuza vinyago vilivyochongwa
Tanzania. Wachonga vinyago wanajikuta wanachonga na kuuza kwa bei ndogo wakati
kazi zao zinavushwa kwenda nchi jirani na kuonekana ndio vinatokea huko.<o:p></o:p></span></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Utamaduni wa
kusoma vitabu ni pengo kubwa jingine, hivyo sio tu kutengeneza Taifa lisilo na
taarifa kamili lakini pia kufanya shughuli ya uandishi wa vitabu kuwa ni
shughuli isiyolipa. Kuna umuhimu mkubwa kuwa na maktaba kila kata kuhamasisha
usomaji wa vitabu. Kwa sasa watoto wengi vitabu wanaviona pale tu wakiwa
darasani. Tasnia nzima ya utunzi wa vitabu imo katika shimo kubwa, watunzi
hawaoni faida ya kuandika vitabu, publishers wanakumbana na matatizo ya wizi wa
kazi zao kama vile kazi za muziki na filamu, kodi za karatasi ni kubwa na hivyo
wachapishaji nao kukosa kazi. Ni gharama ndogo zaidi kuchapisha kitabu India na
China na kukisafirisha kuja Tanzania kuliko kuchapisha kitabu hicho Kariakoo,
hii inasababisha viwanda vya uchapishaji vya hapa kwetu kukosa kazi. Nimalize
kwa kutoa sehemu ya takwimu zilizotolewa na ripoti iliyoitwa <i>Economic Contribution of Copyright
Industries in Tanzania 2007-</i>2010, katika ripoti hiyo ilionyesha kuwa pato
lililopatikana kutokana na tasnia ya Hakimiliki katika mwaka 2010 mwaka
lilikuwa ni </span></span><span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%; mso-bidi-font-family: Calibri; mso-bidi-theme-font: minor-latin;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Tsh 680,989,952,456 na tasnia hii
iliajiri watu 44,331. Je mwaka huu hiyo takwimu itakuwa imefikia wapi?</span><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%; mso-bidi-font-family: Calibri; mso-bidi-theme-font: minor-latin;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">John Kitime</span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%; mso-bidi-font-family: Calibri; mso-bidi-theme-font: minor-latin;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;"><i>Andiko hili limetoka pia kama makala katika gazeti la Mwananchi Jumamosi 11 Novemba 2017. </i></span></span></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-21518606031057388962017-11-10T14:38:00.002-08:002017-11-10T14:38:45.425-08:00JIUNGE NA GROUP LA FACEBOOK LINALOTOA ELIMU YA HAKIMILIKI NA HAKISHIRIKI<span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">JIUNGE NA GROUP LA FACEBOOK AMBAPO UTAWEZA KUULIZA NA KUPATA MAJIBU KUHUSU HAKIMILIKI......INGIA HAPA</span><br />
<a href="https://www.facebook.com/groups/195837867628067/"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;"></span><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: x-large;"><b>IJUE HAKIMILIKI GROUP</b></span></a><br />
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-41141146893412314022017-11-10T13:53:00.001-08:002017-11-10T13:53:55.569-08:00KESI ZA WANAMUZIKI KUIBIANA NYIMBO ZIKO NYINGI DUNIANI HEBU SOMA HIZI CHACHE KWA LEO<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9jyVmCmBoJat4tSd3AuBqyn9MVi-pzYn6L4waUy6t0OqsKXRScVGpQdTBCPQMrVVgLXmZgXnB5VTJMD5ZBbMBI6WfUpm9tq_ndtSociFx0ng48vEPxa1YKd6CY7VFfN6QVjH0BOI0mlY/s1600/11504080-vector-pure-copyright-stamp-Stock-Vector-symbol.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1300" data-original-width="1300" height="200" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9jyVmCmBoJat4tSd3AuBqyn9MVi-pzYn6L4waUy6t0OqsKXRScVGpQdTBCPQMrVVgLXmZgXnB5VTJMD5ZBbMBI6WfUpm9tq_ndtSociFx0ng48vEPxa1YKd6CY7VFfN6QVjH0BOI0mlY/s200/11504080-vector-pure-copyright-stamp-Stock-Vector-symbol.jpg" width="200" /></a></div>
<div style="background: white; margin-bottom: .0001pt; margin: 0in; vertical-align: baseline;">
<span style="color: #141414;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Wapenzi wa muziki wa Tanzania wiki hii wamejikuta wakisikia
jambo ambalo si la kawaida kwa nchi hii. Wanamuziki kuanza kudaiana fidisa kubwa kwa kuibiana kipande cha
nyimbo. Lakini kwa jinsi mambo yalivyokuwa yanakwenda hakika ilikuwa ni muda tu kabla jambo hili halijalipuka, kwa muda mrefu mwanaharakati wa hakimiliki John Kitime amekuwa akitoa mafunzo kuhusu Hakimiliki na hakika jambo hili
amekuwa akielezea kuwa iko siku litatokea, kwani nyimbo nyingi maarufu za wasanii hapa nchini zimekuwa zikidokoa nyimbo za wanamuziki wengine bila kujali kutafuta ruksa rasmi, na sasa Msondo Ngoma Band inataka fidia ya
shilingi milioni 300 kutoka kampuni ya Wasafi Classic kwa madai ya matumizi ya kipande
cha nyimbo yao bila ruksa. Kwa kawaida kutumia kipande bila ruksa huwa na mambo
mengi, kwanza dharau ya kutoheshimu watunzi wa awali, hii huudhi zaidi, pili
ndipo linapokuja swala la kudai fidia ya matumizi ya kazi bila ruksa, ambapo anaedai huwa katika nafasi ya kudai fidia kubwa kadri ya anavyoona yeye anastahili kulipwa. Lakini si
mara ya kwanza duniani hili linatokea, tena kwa wanamuziki wenye majina makubwa
duniani. Hebu tuangalie mikasa iliyowahi kutokea huko Magharibi.<o:p></o:p></span></span></div>
<div style="background: white; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 19.8pt; margin-right: 0in; margin-top: 0in; mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in; vertical-align: baseline;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><span style="color: #141414;">1.<span style="font-stretch: normal; font-variant-numeric: normal; line-height: normal;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: #141414;">Muimbaji <a data-action="ed-sheeran" data-content-type="section-topic" data-track="false" data-type="inline" data-word-count="2" href="http://www.mirror.co.uk/all-about/ed-sheeran"><span style="color: #e90e0e;">Ed Sheeran</span></a>
amejikuta akidaiwa fidia ya ya $20milioni kutokana na wimbo wake unaoitwa,
wimbo huo unadai kuwa ni wa kujaradia wimbo wa <a data-action="matt-cardle" data-content-type="section-topic" data-track="false" data-type="inline" data-word-count="2" href="http://www.mirror.co.uk/all-about/matt-cardle"><span style="color: #e90e0e;">Matt Cardle</span></a>
unaoitwa Amazing, ulioachiwa mwaka 2009.
Amazing uliandikwa na Martin Harrington na Thomas Leonard. Waandishi hawa kesi yao inashikiliwa na
mwanasheria maarufu Richard Busch, ambaye
aliwahi kuitetea familia ya Marvin Gaye katika kesi yao ya kudai haki za wimbo wa
marehemu Marvin Gaye mwaka 2013. Katika
kesi hiyo ya Sheeran, inasemekana kwenye chorus nyimbo hizo mbili zinafanana kwa nota 39. Kwa maelezo yanayosema ‘<i> the notes are identical in pitch, rhythmic duration, and placement in
the measure</i>’. Pia maelezo yaliyopelekwa mahakamani yanasema kuwa nyimbo hizo. Photograph na Amazing,
zimefanana hata katika staili ya uimbaji, melodia ya uimbaji, mapigo au mkong’osio
pia vinafanana<o:p></o:p></span></span></div>
<div style="background: white; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 19.8pt; margin-right: 0in; margin-top: 0in; mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in; vertical-align: baseline;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><span style="color: #141414;">2.<span style="font-stretch: normal; font-variant-numeric: normal; line-height: normal;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: #141414;">Wengi wa wapenzi wa kundi la <a data-action="led-zeppelin" data-content-type="section-topic" data-track="false" data-type="inline" data-word-count="2" href="http://www.mirror.co.uk/all-about/led-zeppelin"><span style="color: #e90e0e;">Led Zeppelin</span></a>
hukubaliana kuwa wimbo Stairway to heaven ndio wimbo bora wa kundi hilo. Lakini
wimbo huo ulilifikisha kundi hilo mahakamani likidaiwa kuwa liliujaradia kutoka
wimbo wa kundi jingine. Muimbaji wa Led
Zeppelin Robert Plant, na mpiga gitaa Jimmy Page walijikuta wako mahakamani wakituhumiwa kuiba wimbo wa Taurus, ulioandikwa na bendi ya Spirit, ambayo
iliwahi kufanya maonyesho ya pamoja kadhaa na Led Zeppelin miaka ya 60. Inasemekana wimbo
huo umeshaingiza kiasi cha Pauni za Kiingereza 400milioni (wastani wa TSHS 8, 000,000,000/-) kutokana
na mirabaha toka wimbo huo ulipoachiwa mwaka 1971. Aliyetunga wimbo wa Taurus, Randy
Wolfe alizama mwaka 1997 wakati akijaribu kumuokoa mwanae. Inasemekana aliwahi
kusema atawapa wimbo huo Led Zeppelin bila malipo yoyote!!!! Led Zeppelin mpaka
sasa wanasema wao hawakukopi huo wimbo.<o:p></o:p></span></span></div>
<div style="background: white; margin: 0in 0in 0.0001pt 19.8pt; outline: 0px; text-indent: -0.25in; vertical-align: baseline;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><span style="color: #141414;">3.<span style="font-stretch: normal; font-variant-numeric: normal; line-height: normal;"> </span></span><!--[endif]--><span style="color: #141414;">Kundi
maarufu la Beatles liliwahi kusimamishwa mahakamani na kampuni ya Big Seven iliyokuwa
iki’publish’ nyimbo za mpiga gitaa Chuck Berry kwa kosa la la kutumia baadhi ya
mistari kutoka wimbo wa You can’t touch me wa Chuck Berry na kutengeneza wimbo
wao wa Come together. Wimbo wa Chuck Berry ulitungwa mwaka 1956 na kesi ilikuja
funguliwa mwaka 1973. John Lennon wa Beatles alikiri kuwa aliuitumia wimbo wa
Chuck Berry kumpa hisia tu ya kutunga wimbo wa Come together. Hatimae
walikubaliana nje ya mahakama kuwa Lennon
arekodi nyimbo 3 za kampuni Big Seven.<span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial;"><o:p></o:p></span></span></span></div>
<div style="background: white; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 19.8pt; margin-right: 0in; margin-top: 0in; mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in; vertical-align: baseline;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><span style="color: #141414;">4.<span style="font-stretch: normal; font-variant-numeric: normal; line-height: normal;">
</span></span><!--[endif]--><span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; color: #141414;"> Do Ya
Think I’m Sexy? Ulikuwa wimbo maarufu wa mwanamuziki Rod Stewart, lakini alipobanwa aeleze ukweli
alikubali kuwa wimbo huo chanzo chake ni wimbo a mwaka 1979, Taj Mahal uliokuwa mali ya mwanamuziki wa
Brazil Jorge Ben.</span> Ben alipoenda mahakamani Stewart alikubali kutoa
sehemu ya pato la wimbo huo kwa UNICEF.<span style="color: #141414;"><o:p></o:p></span></span></div>
<div style="background: white; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 19.8pt; margin-right: 0in; margin-top: 0in; mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in; vertical-align: baseline;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><span style="color: #141414;">5.<span style="font-stretch: normal; font-variant-numeric: normal; line-height: normal;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: #141414;">Kundi la Radiohead la Marekani liliachia
wimbo lililouita Creep, lilichukua
melody ya wimbo wa miaka ya 60 wa kundi
la The Hollies ulioitwa The Air that I breath, wapenzi wa muziki wakagundua
mapema kuwa melody hiyo ni ya wizi, wakawataarifu waandishi wa awali wa wimbo
huo, Hammond na Mike Hazelwood. Jamaa wakaenda mahakamani, na ikalazimika
wakubaliwe kuwa nao ni sehemu ya watunzi wa wimbo huo mpya na lazima wapewe
mgao wa mirabaha.</span><span style="color: #141414;"><o:p></o:p></span></span></div>
<br />
<div style="background: white; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; margin-left: 19.8pt; margin-right: 0in; margin-top: 0in; mso-list: l0 level1 lfo1; text-indent: -.25in; vertical-align: baseline;">
<!--[if !supportLists]--><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><span style="color: #141414;">6.<span style="font-stretch: normal; font-variant-numeric: normal; line-height: normal;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: #141414;">Rapa Jay Z nae alishtakiwa kwa kuiba vipande vya filimbi
vilivyokuwemo katika wimbo wa Khosara
uliorekodiwa mwaka 1957 Misri ukiwa utunzi wa Marehemu Hafez na Hamdy.
Jay Z akatumia vipande hivyo kwenye wimbo wake wa 1999 aliouita “Big Pimpin”.
Jay Z alishinda kesi hiyo, lakini baadae yeye na Timbaland walidai walilipia Pauni
66,000 mwaka 2001, kwa kampuni ya EMI Music Arabia ili kupata leseni ya kutumia
wimbo huo !!!!!!</span></span><span style="color: #141414; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 15.5pt;"> <o:p></o:p></span></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-62390729618184140222017-11-10T08:01:00.001-08:002017-11-10T08:01:51.425-08:00MAHAKAMA YATUPILIA MBALI MAOMBI YA HAMISA MABETO DHIDI YA DIAMOND PLATNUMZ<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Hakimu
Devotha Kisoka wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo ametupilia mbali kesi
iliyofunguliwa na Hamisa Mabeto dhidi ya mwimbaji mashuhuri Diamond Platnumz. Hamisa alifungua kesi ambayo
pamoja na mambo mengine alikuwa akiomba matunzo ya mtoto waliyezaa pamoja na
muimbaji huyo. Hamisa alikuwa akiiomba mahakama imuamuru muimbaji huyo pamoja
na mambo mengine atoe matunzo ya milioni tano kwa ajili ya mtoto.<o:p></o:p></span></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: 20.0pt; line-height: 115%;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif;">Katika hati
ya majibu kinzani, Diamond alieleza kuwa maombi ya matunzo ya mtoto ya shilingi milioni tano kwa mwezi ni makubwa
mno hawezi kuyamudu.</span><o:p></o:p></span></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-48574370600591361352017-11-10T03:14:00.001-08:002017-11-10T03:14:26.782-08:00MSONDO NGOMA WADAI FIDIA YA MILIONI 300 TOKA KWA WCB KWA KUTUMIA KIPANDE CHA MUZIKI WAKE KATIKA WIMBO ZILIPENDWA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh8f4dlOjzV4TvtHDzhpwJRc_nKgUlS51l-KXpMiukbfI9nmcvcSk6ApZgkyOx3AkJFPUTXNghD2Xlb75a8FKJvn_ISiFg7RKedxDmyJU7e6SPgli_Edts1QM0atNpDMcUtVqpe3cdtQLM/s1600/IMG-20171110-WA0000.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="810" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh8f4dlOjzV4TvtHDzhpwJRc_nKgUlS51l-KXpMiukbfI9nmcvcSk6ApZgkyOx3AkJFPUTXNghD2Xlb75a8FKJvn_ISiFg7RKedxDmyJU7e6SPgli_Edts1QM0atNpDMcUtVqpe3cdtQLM/s640/IMG-20171110-WA0000.jpg" width="480" /></a></div>
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-51196991606265446212017-11-09T21:02:00.001-08:002017-11-10T14:35:40.774-08:00JIUNGE NA GROUP LA FACEBOOK LINALOTOA ELIMU YA HAKIMILIKI NA HAKISHIRIKI<span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">JIUNGE NA DROUP LA FACEBOOK AMBAPO UTAWEZA KUULIZA NA KUPATA MAJIBU KUHUSU HAKIMILIKI......INGIA HAPA</span><br />
<a href="https://www.facebook.com/groups/195837867628067/"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;"></span><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: x-large;"><b>IJUE HAKIMILIKI GROUP</b></span></a><br />
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-70677933468435401662017-11-07T01:44:00.001-08:002017-11-07T01:44:12.498-08:00RAIS WA BURUNDI ATOA TAMKO KUPIGA MARUFUKU WANAWAKE KUPIGA NGOMA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKLsTM2e3BWHky5uujeh-uEhTbArGbM18wtZIwzFS5IuT-U0ua18Ycw5TRXDDE5rYK71jBE1k0qI_P1v8SGJnnL2ea-wcNbgs4ekDYsqCQ-2QouN9xPyXCfpw78IB_-IMw1OU_9E89i1A/s1600/ith2014_burundi_08617.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="600" data-original-width="800" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKLsTM2e3BWHky5uujeh-uEhTbArGbM18wtZIwzFS5IuT-U0ua18Ycw5TRXDDE5rYK71jBE1k0qI_P1v8SGJnnL2ea-wcNbgs4ekDYsqCQ-2QouN9xPyXCfpw78IB_-IMw1OU_9E89i1A/s640/ith2014_burundi_08617.jpg" width="640" /></a></div>
<div style="background: white;">
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">RAIS wa Burundi Pierre
Nkurunziza, ametoa agizo jipya kuhusu upigaji wa ngoma za matambiko na kupiga
marufuku wanawake kupiga ngoma hizo. Pia ameamuru kuwa ngoma hizo za matambiko
kupigwa tu katika shughuli maalumu. Katika agizo lake imeelezwa kuwa ni marufuku mwanamke kupiga ngoma hizo
za tambiko lakini wanawake wanaruhusiwa kushiriki katika kucheza wakati
wakipigiwa ngoma hizo.<o:p></o:p></span></span></div>
<div style="background: white;">
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Pia amri imetolewa kuwa vikundi vyovyote ambavyo vinataka
kufanya maonyesho ya sanaa hiyo, lazima vijiandikishe Wizara ya Utamaduni na
havitakuwa na ruksa kufanya maonyesho hayo katika shughuli zisizo rasmi.<o:p></o:p></span></span></div>
<br />
<div style="background: white;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><span style="color: #333333;">Ngoma hii ya matambiko ya
Burundi, mwaka 2014 iliwekwa katika orodha ya mali asili za dunia na UNESCO na kuingizwa katika <span class="caps"> UNESCO</span></span>’s Intangible Cultural Heritage list, ambapo
ngoma hii inaelezewa kuwa ni muunganiko wa ngoma na kucheza kukiambatana na
mashahiri ya ushujaa, na pia nyimbo za kiasili za Burundi. Kama ilivyo katika nchi nyingi za Kiafrika ngoma hii ya tambiko siku
hizi inachezwa kama burudani, lakini kwa miongo mingi ilikuwa ni ngoma
iliyoabudiwa na kabila zima la Kirundi. Katika siku za karibuni ngoma hii
imekuwa ikichezwa kwenye maharusi, graduation hata ubatizo. Ngoma hii ambayo
awali ilikuwa ikipigwa na wanaume tu, kwa sasa kulianzishwa hata vikundi vya
wanawake ambavyo vilianza kupiga ngoma hii. Kwa tamko jipya kila anaetaka
kufanya onyesho la ngoma hii atalipia $280, na kama onyesho litafanyika nje ya
nchi kiwango hicho kitalipwa kila siku. </span><o:p></o:p></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-55590557288546574372017-11-07T01:04:00.003-08:002017-11-07T01:04:40.199-08:00MCHORA VIBONZO ASOTA KIZUIZINI TOKA SEPTEMBA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOS_6H1RQ-e-vrUt6sMY40tVtYUiSfn3XpR4uXkGFBARZS9BHGi7WaGgTcn9AKFSVKqI2CU8ZXE2zx0oJCBxj4cLgeusd6EWYFmmyZvfwJWqVXohDeWoDjsyoY95iKq15Hfsbtd1JVCa4/s1600/1024x576_401281.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="576" data-original-width="1024" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOS_6H1RQ-e-vrUt6sMY40tVtYUiSfn3XpR4uXkGFBARZS9BHGi7WaGgTcn9AKFSVKqI2CU8ZXE2zx0oJCBxj4cLgeusd6EWYFmmyZvfwJWqVXohDeWoDjsyoY95iKq15Hfsbtd1JVCa4/s640/1024x576_401281.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: small;">Mchoraji Ramón Esono Ebalé</span></td></tr>
</tbody></table>
<div style="background: white; text-align: justify;">
<span style="color: #333333;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Cartoonists Rights Network International (<span class="caps"><span style="box-sizing: inherit;">CRNI</span></span>) imemchagua mchora vibonzo.
Ramón Esono Ebalé ambaye kwa sasa yuko
kizuizini Equatorial Guinea kuwa mshindi wa tuzo la ’2017 Courage in Cartooning Award.’<o:p></o:p></span></span></div>
<div style="background: white; box-sizing: inherit; margin-bottom: 1.5rem; text-align: justify;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><span style="box-sizing: inherit;"><span style="color: #333333;">CRNI</span> kimesema kuwa
kuchaguliwa kwa </span><span style="color: #333333;">Ramon kumetokana na ‘Kuendelea kwake kukataa kutishwa , na
ujasiri wake dhidi ya selikali dhalimu’.</span></span></div>
<div style="background: white; box-sizing: inherit; margin-bottom: 1.5rem; text-align: justify;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><span style="color: #333333;">Joel
Pett, Rais wa Bodi ya wakurugenzi ya ya CRNI alisema ‘ Ramón Esono Ebalé ni mzaliwa
wa Equatorial Guinea ambaye kwa muda mrefu alikuwa akiishii Paraguay,’ </span></span></div>
<div style="background: white; box-sizing: inherit; margin-bottom: 1.5rem; text-align: justify;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><span style="color: #333333;">Tuzo la ujasiri la </span><span style="color: #333333;"> </span><span style="color: #333333;">Award
for Courage in Editorial Cartooning ni kengele ya kila mwaka inayotolewa kwa
wachora vibonzo walioonyesha ujasiri na kujitoa katika kuendeleza fani yao
na kutetea uhuru wa kujieleza. </span></span></div>
<div style="background: white; box-sizing: inherit; margin-bottom: 1.5rem; text-align: justify;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><span style="color: #333333;">Ramon alikamatwa tarehe 16 Septemba 2017 na vyombo vya usalama katika
mji wa Malabo mji mkuu wa Equatorial Guinea. Kama ilivyosemwa hapo awali, Ramon alikuwa anaishi nje ya nchi na
alikuwa karudi kwao kupata hati mpya ya kusafiria. Picha za mchoraji huyu mara
nyingi zilikuwa zikimuongelea Rais na watumishi wengine wa serikali, kulikuwa
na wasi wasi kuwa akikamatwa atashtakiwa kwa kosa la kukashifu viongozi, lakini
amefunguliwa mashtaka ya kutakatisha pesa. Makosa ambayo CRNI inadai ni ya
kutunga.</span></span></div>
<div style="background: white; box-sizing: inherit; margin-bottom: 1.5rem; text-align: justify;">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><span style="color: #333333;">Tuzo lilikabidhiwa kwa Ramon japo kuwa hakuweko, wakati wa mkutano
mkuu wa Association of American Editorial Cartoonists, uliofanyika siku ya
tarehe 4 Novemba 2017 Hofstra University campus, Long Island, New York. Tayari maelfu ya watu wamekwisha tia saini maombi ya kuachiwa kwake, na hasa
wakidai kuwa</span><span style="color: #333333;"> </span><span style="color: #333333;">sheria ya nchi hiyo
hairuhusu mtu kuwekwa kizuizini zaidi ya masaa 72 kabla hajafunguliwa mashtaka.
Mashirika ya kupigania haki za binadamu ya International rights group na Human
Rights Watch (</span><span class="caps" style="color: #333333;"><span style="box-sizing: inherit;">HRW</span></span><span style="color: #333333;">)
yamejaribu kuwasiliana na Rais wa nchi hiyo President Teodoro Obiang Nguema, kumuomba kumuachia mchora vibonzo huyo na kufuata matakwa ya sheria ya nchi hiyo.</span></span></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-82350951649658334122017-11-02T01:20:00.001-07:002017-11-02T01:20:15.581-07:00ETI FILAMU SIO SANAA? <div style="background: white; line-height: 17.75pt; margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt;">Kuna watu wenye busara na wanaoaminika hapa Bongo
wanadai Filamu sio sanaa. Wenyewe walioanzisha
fani hiyo na wenye uzoefu mkubwa wanaiita ni sanaa, na pia kusisitiza kujenga taratibu ili sanaa
hii ifundishwe mashuleni kwao kuanzia shule za awali. Je tutawakuta hawa kweli kwa msimamo huo? ….. <o:p></o:p></span></div>
<div style="background: white; line-height: 17.75pt; margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt;"> <span style="color: #282828;"><i>Under new
proposals, children would be schooled in the history of British film and be
taught about the mechanics of film-making in order to encourage a new
generation of scriptwriters, directors and behind-the-camera technicians.<o:p></o:p></i></span></span></div>
<div style="background: white; line-height: 17.75pt; margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="color: #282828; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt;"><i>“Unlike
other art forms - literature, theatre or music, for example - film has yet to
find its rightful place in education,” said the government-commissioned report
into the future of the British film industry…</i>.Habari yote <a href="http://www.telegraph.co.uk/culture/film/9018896/Film-is-an-art-form-and-should-be-taught-in-schools-says-government-report.html"><b>BOFYA HAPA</b></a><o:p></o:p></span></div>
<div style="background: white; line-height: 17.75pt; margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="color: #282828; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt;">Kwanini
hapa Bongo filamu inaitwa si sanaa? Je ni kwa kutokuelewa fani? Au kwa kuogopa
kuwa filamu ikiitwa sanaa italazimika kuwa chini ya BASATA hivyo baadhi ya watu
kuona wadhifa wao utashuka? Maswali ni mengi sana kwanini kuna msimamo huu wa
ajabu? Soma hapa baadhi ya mitizamo duniani<o:p></o:p></span></div>
<div style="background: white; line-height: 17.75pt; margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="color: #282828; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 14.0pt;"><a href="https://www.quora.com/Is-a-film-or-video-considered-to-be-a-piece-of-art-Why-or-why-not">Is film or video a piece of Art?</a></span></div>
<div style="background: white; line-height: 17.75pt; margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<br /></div>
<div style="background: white; line-height: 17.75pt; margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<br /></div>
<div style="background: white; line-height: 17.75pt; margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoNoSpacing">
<br /></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-30886593809604944762017-10-26T03:20:00.001-07:002017-10-26T03:20:10.438-07:00MARAHABA MUSIC FESTIVAL 2017<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnl2Q3fZ_fR1sQHnqsqw_y8O89ABHye3ayBkQ9APzj7Egyzd26Wo95LJCatLLIbDQC1E1AW51A4QznLnx2IhRMu1HnKkCFBqbp4LxRCOnltJjPXpzi_LbmiGx-2ihMeLedDMGmstNQsQM/s1600/22228303_831764126983779_7398574600464520011_n.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="960" data-original-width="679" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnl2Q3fZ_fR1sQHnqsqw_y8O89ABHye3ayBkQ9APzj7Egyzd26Wo95LJCatLLIbDQC1E1AW51A4QznLnx2IhRMu1HnKkCFBqbp4LxRCOnltJjPXpzi_LbmiGx-2ihMeLedDMGmstNQsQM/s640/22228303_831764126983779_7398574600464520011_n.jpg" width="452" /></a></div>
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-79839496625436033052017-10-14T22:38:00.004-07:002017-10-14T22:38:58.869-07:00Mshindi wa Singeli Michano ya EFM Mwanza apatikana><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjl7m3-k7aZEKWq6tNhRX5j1X04976Ki91JwMG0fhZV-Fh_V-QsYA2Qi4KuXLM0AZUSxz-cC66kfnXMCSLB9kbvDAsXwZh8LKT_0q5D4I729637or-mBDG8Gt6iyzTkXmt5eedKBh7Bnuw/s1600/StoneFire.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="768" data-original-width="1024" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjl7m3-k7aZEKWq6tNhRX5j1X04976Ki91JwMG0fhZV-Fh_V-QsYA2Qi4KuXLM0AZUSxz-cC66kfnXMCSLB9kbvDAsXwZh8LKT_0q5D4I729637or-mBDG8Gt6iyzTkXmt5eedKBh7Bnuw/s640/StoneFire.JPG" width="640" /></a></div>
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Watanzania jana waliadhimisha kumbukizi ya miaka 18 tangu kufariki dunia kwa mwasisi wa taifa la Tanzania, Hayati Mwl.Julius Kambarage Nyerere aliyefariki dunia Oktoba 14,1999 akiwa nchini Uingereza kwa ajili ya matibabu.</span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Lakini wakati huo huo katika uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza, uliofunguliwa na Mwl.Nyerere mwaka 03.02.1980 kulifanyika tamasha la Mziki Mnene lililoandaliwa na EFM & ETV za Dar es salaam.</span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Katika tamasha hilo kuna matukio muhimu yaliyofanyika ambapo asubuhi ilianza na mazoezi ya viuongo (Jogging) pamoja na kumsaka mkali wa muziki wa Singeli yaani "Singeli Michano" . Mchana kulikuwa na mchezo wa soka baina ya kikosi cha EFM&ETV na timu ya Mwanza Veteran na jioni hadi kuchee ilifanyika burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali.</span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"><br /></span>
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">BMG imekusogezea mshindi wa Singeli Michano Mwanza #Live kutoka uwanja wa CCM Kirumba ambako tamasha hilo lililodhaminiwa na wadhamini kadhaa ikiwemo Biko, Cocacola na JB Fairmont Hotel.</span><br />
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="180" src="https://www.youtube.com/embed/8C-XMSWUUSM" width="280"></iframe><br />
<b>Habari imeandaliwa na BMG Habari, Pamoja Daima!</b>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-53210076394006962412017-09-06T01:49:00.002-07:002017-09-06T01:49:24.848-07:00UNAJUA KWANINI MUZIKI WA SIKU HIZI HAUDUMU? HEBU SIKILIZA UCHAMBUZI HUU<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/oVME_l4IwII" width="560"></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-34352610575013059412017-08-11T13:07:00.002-07:002017-08-11T14:08:13.012-07:00JUDITH KIULA MUIMBAJI MPYA WA GOSPEL<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhJyze8o5IQKQQ3-8n9c8tUXIu-zOcXiIrQhLNUtfN_OXd71enGOfkxGnTYKlses1Zn-BmRzr6n5T5jsUz29fLVQlIyEKgGK6fkMOxL9KCAhMgX3MjZV5NY_UyyLW3ZiXMs9cXUEMApD48/s1600/IMG-20170811-WA0007.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1080" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhJyze8o5IQKQQ3-8n9c8tUXIu-zOcXiIrQhLNUtfN_OXd71enGOfkxGnTYKlses1Zn-BmRzr6n5T5jsUz29fLVQlIyEKgGK6fkMOxL9KCAhMgX3MjZV5NY_UyyLW3ZiXMs9cXUEMApD48/s640/IMG-20170811-WA0007.jpg" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">Judith Kiula ni mwenyeji wa Singida aliyezaliwa na kukulia Morogoro, alizaliwa Kizuka hospital, na akaanza shule Kizuka primary school, akajiunga na <br /> Tumaini Lutheran seminary, baadae akajiunga Dakawa High School na kisha Institute of finance Management.<br /> Judith alianza kuimba tangu akiwa mdogo wakati wa Sunday school na katika kwaya mbali mbali za mashule nk.Kwa mara ya kwanza alirecord wimbo mwaka 2011 lakini haukupokelewa vizuri, na sasa amerudi tena na anatarajia kukamilisha album yake yenye nyimbo 8 kabla ya mwisho wa mwaka huu. Ila kwa sasa yuko tayari kukaribishwa kwenye maonyesho ya muziki wa Gospel popote pale. Sikiliza hapa uwezo wake</span></div>
<br />
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/4ce8CTp1eMA" width="560"></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-81698477039772852032017-08-08T12:09:00.000-07:002017-08-08T12:09:07.288-07:00UPANGA ILIWAHI KUITWA SOULVILLE
<br />
<div style="margin: 0px 0px 11px;">
<span style="margin: 0px;"><span style="color: #351c75; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 20pt; line-height: 107%; margin: 0px;">KATIKA<span style="margin: 0px;"> </span>miaka ya 60 na 70
mpaka 80, karibu kila eneo la jiji la Dar es Salaam kulikuwa na makundi ya
muziki. Wakati huo muziki ulifanywa kwa makundi tofauti na sasa ambapo msanii
anaweza kuwa peke yake<span style="margin: 0px;"> </span>katika kutunga,
kurekodi na hata kufanya kazi yake jukwaani.<span style="margin: 0px;">
</span>Muziki wa dansi uligawanyika katika makundi makubwa mawili, makundi
yaliyopiga muziki wa rhumba na yale yaliyopiga muziki wa magharibi. Kulikuwa na
ushindani mkubwa sana kati ya makundi haya kila mtaa ukijitahidi<span style="margin: 0px;"> </span>kupiga muziki bora zaidi ya mwingine. Hata
wazazi nao walijihusisha kuchangia ufanisi wa vikundi vya watoto wao, kwa
kuwanunulia vyombo vya muziki na kuwapa maeneo ya kufanyia mazoezi. Kulikuwa na
ushindani mkubwa sana kati ya vikundi vya muziki kutoka Kurasini na Chang’ombe
na vikundi ambavyo vilitoka Upanga. Ukiliangalia eneo la Upanga leo huwezi
kudhani kuwa lilikuwa eneo muhimu sana katika shughuli za muziki wa vijana,
lakini hakika eneo hili lilikuwa na vikundi kadhaa vilivyokuwa na wanamuziki
kutoka ambao wengi walikuwa ni watoto wa Upanga na wenzao ambao walijiunga nao
wakitoka mitaa mingine. Upanga ni eneo muhimu sana katika historia ya muziki
Tanzania. Enzi hizo vijana walipagawa na muziki wa soul, muziki ambao asili
yake ilikuwa Marekani, muziki ambao uliporomoshwa na wanamuziki kama Otis
Redding, Percy Sledge, Sam Cooke, James Brown, Clarence Carter, Wilson Pickett,
Aretha Franklin na wengi wengine. Vikundi vingi vya muziki vya vijana wa Upanga,
waliiga na kupiga muziki huu, na hata kuamua kupaita upanga, Soulville.</span></span></div>
<br />
<div style="margin: 0px 0px 11px;">
<span style="margin: 0px;"><span style="color: #351c75; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 20pt; line-height: 107%; margin: 0px;">Kwenye kona ya barabara ya Mindu na United Nations, nyumbani kwa
familia ya Jengo, hapo ndipo palikuwa mahala pa mazoezi pa kundi moja maarufu
lililoitwa Groove Makers. Baadhi ya wanamuziki wa kundi hili walikuwa
Mohamed Maharage, Joseph Jengo na nduguye Emmanuel Jengo, Herbert Lukindo,
Willy Makame, na mpiga Drums ambae mpaka leo yupo katika anga za muziki Habib Jeff
mwanamuziki ambaye toka amejiunga Mlimani Park miaka ya 70 hajawahi kuhama
kundi hilo. Kundi jingine maarufu pale Upanga lilikuwa The Strokers, hili
lilikuwa na awamu mbili, awamu ya kwanza ilikuwa na wanamuziki akina Donald
Max, David Max, Harry Chopeta, Vincet Chopeta, Pino Makame na Ochiwa na Freddy
Lukindo.</span></span></div>
<br />
<div style="margin: 0px 0px 11px;">
<span style="margin: 0px;"><span style="color: #351c75; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 20pt; line-height: 107%; margin: 0px;">Awamu ya pili ya kundi hili lilkuwa na Sajula Lukindo,Onesmo
Kibira,Innocent Galinoma,Ben Galinoma, Denis Pad, Francis Kasambala,Vicent na
Harry Chopeta, Ally Mwarabu, Sabri Mmanga na wengineo. The Barlocks ni
bendi nyingine iliyochipukia Upanga, jina la Barlocks lilitokana na kuweko
kwa kundi jingine lililojiita la The Barkeys, kundi ambalo lipo hai mpaka leo
ambalo kwa sasa linajulikana kwa jina la The Tanzanites, lililo chini ya
Abraham Kapinga. The Barlocks walikuwa wakitumia vyombo
vya Barkeys kwani kwa wakati huo bendi hizi zilikuwa kama mkubwa na
mdogo. Zamani lilikuwa jambo la kawaida kabisa bendi kuwa na makundi
mawili A na B, Dar es Salaam<span style="margin: 0px;"> </span>Jazz Band
enzi za Michael Enoch, iliwahi kuwa na Dar es Salaam Jazz Band B, bendi ambayo
ilikuwa na mwanamuziki maarufu Patrick Balisdya. Na bendi hii ikawa bora kiasi
cha kuwa tishio kwa Dar es Salaam Jazz Band A, ikalazimika Michael Enoch
amshauri mwenye bendi kulivunja kundi hilo la pili na kuwaunganisha wanamuziki
pamoja, jambo lililomuudhi Patrick na kuwa sababu moja ya kuanzishwa kwa Afro
70. Barlocks hiyo ya awamu ya kwanza ilikuwa na wanamuziki akina Jimmy
Jumba, Pimbi Sokoine, huyu alipewa jina la utani Pimbi kutokana na kuwa mrefu
sana, Said Mbonde kaka yake Amina Mbonde aliyekuja kuwa muimbaji wa kike mzuri
sana pia enzi zake, pia walikuweko Sajula Lukindo na Abraham. Kulikuweko na
makundi mengine mengi hapo Upanga, kama vile White Horse, Aquarius ambako
ndiko alikotoka producer maarufu Hendrico Figueredo, ambaye pamoja na wenzie
walikuja kuanzisha kundi ambalo liko hai mpaka leo linaoitwa InAfrika.
Wanamuziki wengine wa Upanga walikuwa akina Joe Ball, Joel De Souza, Mark De
Souza, Roy Figueredo, Yustus Pereira, Mike De Souza. Kama unavyoona majina yao
hawa walikuwa wengi ni Wagoa, kulikuwa na bendi nyingi za Wagoa katika miaka
hiyo kwani hawa walikuwa ni Waasia wa asili ya kisiwa cha Goa, na lugha waliyotumia
ilikuwa Kiingereza, hivyo muziki waliokuwa wakipiga ulikuwa wa lugha hiyo. <span style="margin: 0px;"> </span>Baadhi ya wanamuziki niliowataja walienda na
kuungana na wanamuziki wengine Arusha na kuvuma sana na kundi lililoitwa Crimson
Rage, baadae wakarudi Dar na kujiita The Strange. Leo ukijidai kupiga
gitaa Upanga kuna hatari ukaiyiwa polisi kwa kupigia watu kelele.</span></span></div>
<b></b><i></i><u></u><sub></sub><sup></sup><strike></strike><span style="font-family: Verdana, sans-serif;"></span>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-17784451608972937562017-08-08T12:04:00.002-07:002017-08-08T12:21:33.070-07:00MWANAMUZIKI MPYA WA MUZIKI WA INJILI, ANA UMRI WA MIAKA 5<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkrLmV-ARTcIhXQv9X9wfwy1HuuNxAo4xU-H5FwEJCc4TUcwbabBzueeyNaKmS0inSRlP3q0DX-yz9GJpaBS3wAosPJ15XhehE_F3kO3qaoiAUY-I2-ug3ySb2SV8ASlDBs6m7IZseY2U/s1600/IMG-20170804-WA0004.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="886" data-original-width="886" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkrLmV-ARTcIhXQv9X9wfwy1HuuNxAo4xU-H5FwEJCc4TUcwbabBzueeyNaKmS0inSRlP3q0DX-yz9GJpaBS3wAosPJ15XhehE_F3kO3qaoiAUY-I2-ug3ySb2SV8ASlDBs6m7IZseY2U/s320/IMG-20170804-WA0004.jpg" width="320" /></a></div>
Baby Nito ni mtoto wa miaka mitano. Mama yake Natasha Maige Lisimo ni muimbaji wa muda mrefu anaejulikana zaidi kwa jina la Kadjanito. Huu ni wimbo wake wa kwanza akieleza anavyompenda Yesu na kumuomba amuongoze. Msikilize hapa<br />
<br />
<iframe frameborder="no" height="225" scrolling="no" src="https://w.soundcloud.com/player/?url=https%3A//api.soundcloud.com/tracks/337029124&auto_play=false&hide_related=false&show_comments=true&show_user=true&show_reposts=false&visual=true" width="50%"></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-11918761431093651682017-07-16T23:00:00.001-07:002017-07-16T23:00:28.065-07:00RATIBA YA MSIBA NA MAZISHI YA MKE WA WAZIRI MWAKYEMBE<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg9WgqAywk_uhGYPn55VovlE0X3j20u87fMbDVgEnr9N-k9GRv9EEEz47FmsET2OGuSRtHeZU8d58KCML4vDiPp3oYoRWnLYdhFfyG_eofACqshz0W0B0dFC-v_PjUR7X_su3UbqSEMOGk/s1600/pic%252Bmwakyembe.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="617" data-original-width="595" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg9WgqAywk_uhGYPn55VovlE0X3j20u87fMbDVgEnr9N-k9GRv9EEEz47FmsET2OGuSRtHeZU8d58KCML4vDiPp3oYoRWnLYdhFfyG_eofACqshz0W0B0dFC-v_PjUR7X_su3UbqSEMOGk/s320/pic%252Bmwakyembe.jpg" width="308" /></a></div>
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Mke wa mheshimiwa Waziri wa habari Utamaduni na Michezo, Dr Harrison Mwakyembe, Bi Linah Mwakyembe amefariki usiku wa kuamkia jana Jumapili, katika hospitali ya Aga Khan Dar es Salaam alikokuwa anatibiwa. Ratiba ya msiba ni kama ifuatavyo:</span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Jumanne 18/7/2017 asubuhi mwili wa marehemu utawasili nyumbani kwa Mhe. Dr Mwakyembe Kunduchi Beach, kisha taratibu za Ibada na kuaga zitafuata na hatimae mwili kusafirishwa kwenda Kyela zitafanyika siku hiyohiyo. Mazishi yatakuwa Kyela siku ya Jumatano</span><br />
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Mungu Amlaze Pema Linnah Mwakyembe</span>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-4006751357124903352017-07-14T22:49:00.003-07:002017-07-14T22:49:41.033-07:00KWANINI NYIMBO ZA ZAMANI ZINA MAISHA MAREFU?<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Mara nyingi sana nimeulizwa na kwanini nyimbo nyingi za
zamani bado zinadumu, wakati nyimbo za siku hizi zinakuwa na umaarufu wa muda
na kupotea? Nimeshaulizwa swali hili na
wapenzi wa muziki, watangazaji wa vipindi vya muziki, waandishi wa makala za muziki
na hata wanamuziki vijana wa kizazi hiki
wamekuwa wananiuliza swali hili tena na tena. Labda leo nitoe tena mawazo yangu
juu ya swali hilo. Kuna mambo mengi ambayo ni tofauti sana katika jamii ya
watunzi sasa na watunzi wa zamani, hapa nitaongelea hali ya watunzi wakati nikiwa katika bendi
mbalimbali kati ya mwaka 1975 mpaka 1990. Tofauti ya kwanza kubwa ilikuwa ni
malezi ya awali ya watunzi. Kuna msemo maarufu unaosema ‘msanii ni kioo cha
jamii’. Hivyo basi ukitaka kujua jamii ikoje angalia kazi za wasanii.Tungo za
miaka hiyo zinaonyesha kuwa jamii
ilikuwa na staha katika mambo mengi, jamii ilikuwa bado ni ya watu waliokuwa
watoto au wajukuu wa wazee waliokuwa wanazingatia sana malezi ya kiasili, malezi
yaliyosisitiza kujiheshimu na kuheshimu watu wengine. Hivyo tungo zilikuwa ni
zile zilizokuwa zikijikita bado katika misingi hiyo. Jambo jingine muhimu, kulikuwa
na taratibu rasmi na zisizo rasmi za kurekibisha wale waliopotoka na kukiuka
misingi hii. </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Kama nilivyosema nitaongelea miaka niliyokuwa katika bendi,
na kwa kuwa nilipata bahati ya kuwa katika bendi ambazo nyimbo zake bado
zinapendwa na hata kupigwa na bendi za sasa miaka karibu arobaini na zaidi toka
tulipotunga nyimbo hizo. Jambo la kwanza ni tofauti kubwa ya sababu za kuamua
kutunga, ni kawaida kabisa kusikia msanii siku hizi akiasema anataka kutunga
ili’ atoke’. Au anatunga kwa kuwa ‘muziki ni biashara’. Katika utunzi wa namna
hii kunakuweko la lengo linaloongoza aina ya utunzi. Hivyo mtunzi anaweza
kutunga wimbo wa mapenzi lakini nia yake si kuonyesha hisia ya mapenzi bali
kutengeneza wimbo ili uuze au apate umaarufu. Msanii anaweza kutunga wimbo wa
msiba. Lakini hisia yake haikuwa msiba bali ni kutafuta kutoka au kutimiza amri
ya kutunga wimbo wa msiba. Hisia za ukweli ni muhimu katika tungo. Watunzi niliokuwa nikiishi na kufanya nao kazi
wakati huo walikuwa wakitunga wimbo kutokana na mwongozo wa hisia zao tu. Tungo
zilitokana na tukio la kweli au la kubuni lakini kilichowaongoza kutunga
hakikuwa faida au umaarufu bali kutoa hisia zao kuhusu kile walichokuwa
wakikielezea. Msanii ambaye anatengeneza kazi yake kwa hisia , hisia zile
huambukiza kila anaesikia au kuangalia kazi ile. Wimbo ambao mtunzi kaimba
kusikitika husikitisha kila anaeusikiliza, na ule
anaouimba kufurahi hufurahisha kila anaeusikia. </span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;">Kwa kuwa muziki wakati huo ulikuwa ni mkusanyiko wa watu
wengi kila tungo ilipitia katika chujio kubwa. Mtunzi ukifikisha tungo yako
kwenye kundi lako, bendi, taarab au kwaya, watu wa kwanza kuanza kuukosoa au
kukusifu walikuwa wenzio katika kundi, kisha
hawa hukusaidia kuuboresha na kila mtu kushiriki katika kuufanikisha, mpiga solo alitunga mapigo yako yake, mpiga
bezi nae, wapulizaji na kadhalika, na kila mmoja alikuwa anauwezo wa kutoa
ushauri kuhusu sehemu yoyote ya wimbo. Hatimae kama kundi hufikia mahali na
kuridhika kuwa kazi yao sasa inaweza kutolewa kwa umma. Katika bendi zote nilizopitia, siku ya
kuupiga wimbo kwa mara ya kwanza ilikuwa muhimu, kwani wanamuziki wote kwa
ujumla mlikuwa na kazi mbili, kwanza kupiga kwa ufasaha tungo yenu mpya na pili
kuangalia washabiki wenu wanaichukuliaje nyimbo yenu mpya. Kama wimbo
haukupokelewa vizuri na mashabiki wenu, ulikuwa unarudi tena jikoni, kuliwekwa hata vikao vya kujiuliza kwanini watu
hawakuuchangamkia wimbo. Na kama ingeonekana kuwa wimbo umefurahiwa na wapenzi
wenu, basi ungeendelea kupigwa kwenye kumbi hata mwezi mmoja zaidi kwa kile
tulichokiita ‘wimbo uive’. Baada ya hatua hii ndipo mipango ya kurekodi wimbo
huanza kufanyika. Na kwa miaka hiyo kulikuwa na chujio jingine, tungo
zilipelekwa mapema Radio Tanzania ambako ndiko kulikuwa na studio za kurekodi,
na huko kulikuweko na kamati iliyokuwa ikiangalia kama tungo zimefuata maadili
yaliyokuweko wakati huo. Tungo zilizopita chujio hilo ndizo zilizorekodiwa. Na
hakika ndizo nyimbo ambazo zingine zina miaka zaidi ya hamsini lakini zinafurahiwa na wapenzi wa
muziki wa rika zote hadi leo.</span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: large;"> Kwa utaratibu wa
sasa, ni kawaida msanii kutunga wimbo wake chumbani kwake peke yake, kisha
akaingia studio, wakawa watu wawili yeye na producer wake na kutengeneza wimbo
ambao ukitoka hapo unapelekwa redioni tayari kwa kurushwa kwa umma. Lakini
katika zama hizi ambazo kwanza kuna tatizo kubwa la malezi, ambapo si ajabu
kusikia mzazi akimtusi mwanae wa kumzaa kwa matusi ambayo kimsingi anajitukana
mwenyewe, mtaani watoto wanakua wakisikia lugha za ajabu na hakuna mtu
anaonekana kushtuka, hakika msanii aliyekulia katika mazingira haya na kwa kuwa yeye ni ‘kioo’ cha jamii yake, kazi
yake si ajabu kabisa unapokuta akiongelea mambo ambayo mtu mwingine unastaajabu
kapata wapi ushujaa wa kutamka maneno ya faragha bila ukakakasi mdomoni. Kazi
za namna hii ni nadra sana kuwa na maisha marefu</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-77917181706894241642017-07-11T13:00:00.000-07:002017-07-11T13:00:08.154-07:00BELLE 9 ATOA KIBAO KIPYA ' MFALME'<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg4X5diKdKvYq8wC4PWxiVN5tHGhgUcmQ_NC62LO3UuMw0WNj5ePn-12dPxx6rtxcfZxELuEqtaetktK4hz4wel6-_jHoAlj23OAueV1kWGeqfFlzXSUbeHTfJSxrM91IWL5kCTt74Axys/s1600/IMG-20170707-WA0016.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1080" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg4X5diKdKvYq8wC4PWxiVN5tHGhgUcmQ_NC62LO3UuMw0WNj5ePn-12dPxx6rtxcfZxELuEqtaetktK4hz4wel6-_jHoAlj23OAueV1kWGeqfFlzXSUbeHTfJSxrM91IWL5kCTt74Axys/s320/IMG-20170707-WA0016.jpg" width="320" /></a></div>
<br /></div>
<iframe frameborder="no" height="100" scrolling="no" src="https://w.soundcloud.com/player/?url=https%3A//api.soundcloud.com/tracks/332754661&auto_play=false&hide_related=false&show_comments=true&show_user=true&show_reposts=false&visual=true" width="100%"></iframe>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 16pt;"><i> BELLE 9 ametoa kazi yake mpya inaitwa Mfalme, Isikilize hapa baada ya kusikiliza akijibu maswali ambayo ameulizwa kuhusu kazi yake hiyo..............................................</i></span></b><br />
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 16pt;"><i><br /></i></span></b>
<br />
<div style="text-align: center;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 16pt;"><i>MASWALI</i></span></b></div>
</div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<div style="text-align: center;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , sans-serif; font-size: 16pt;"><i><br /></i></span></b></div>
</div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">1.</span></b><span style="color: #222222; font-family: "times new roman" , "serif"; font-size: 7.0pt;"> </span><b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">Kiti cha Ufalme kwenye Muziki wa BongoFlava
kimekuwa kikigombewa na wasanii wengi kwako ikoje? Na idea ya Ufalme ilikuaje
ukaihusisha kwenye mapenzi?</span></b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">2.</span></b><span style="color: #222222; font-family: "times new roman" , "serif"; font-size: 7.0pt;"> </span><b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">Ngoma imepikwa na producer gani na mlikutana
vipi?</span></b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">3.</span></b><span style="color: #222222; font-family: "times new roman" , "serif"; font-size: 7.0pt;"> </span><b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">Umeachia ngoma zaidi ya tatu kwa mfulululizo
ukiwa umefanya na maproducer wasiokuwa na majina imani yako kwako ikoje?</span></b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">4.</span></b><span style="color: #222222; font-family: "times new roman" , "serif"; font-size: 7.0pt;"> </span><b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">Hivi karibuni Nuruelly alidai muziki wa RNB
Bongo umekufa kutokana na wasanii wanaofanya muziki huo kuswitch na kufanya rnb
yenye vijionjo vya Nigeria inaweza kuwa sababu moja yako ya ngoma ya Mfalme
kuifanya katika miondoko ya RNB?</span></b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">5.</span></b><span style="color: #222222; font-family: "times new roman" , "serif"; font-size: 7.0pt;"> </span><b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">Kwa kipindi kifupi umeachia ngoma 4 kwa mpigo
ni nini ulichoki-target katika muziki wako?</span></b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">6.</span></b><span style="color: #222222; font-family: "times new roman" , "serif"; font-size: 7.0pt;"> </span><b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">Video yako itatoka lini?</span></b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">7.</span></b><span style="color: #222222; font-family: "times new roman" , "serif"; font-size: 7.0pt;"> </span><b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">Ulikuja na style ya kusuka vipi kuhusu kuchora
tattoo sehemu yoyote katika mwili wako?</span></b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">8.</span></b><span style="color: #222222; font-family: "times new roman" , "serif"; font-size: 7.0pt;"> </span><b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">Mwonekano wa msanii kimavazi, nywele, tattoo
nk…. Unatafsiri ipi kwa msanii?</span></b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">9.</span></b><span style="color: #222222; font-family: "times new roman" , "serif"; font-size: 7.0pt;"> </span><b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">Katika List ya ngoma zako ni ngoma gani ambayo
hutoisahau uliirekodi kipindi ambacho huna furaha au majonzi?</span></b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";"><o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">10.</span></b><span style="color: #222222; font-family: "times new roman" , "serif"; font-size: 7.0pt;"> </span><b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">Ni ngoma zipi unazozikubali kwa muda wote
katika muziki wa Bongo Flava?</span></b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";"><o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: normal; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto;">
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">11.</span></b><span style="color: #222222; font-family: "times new roman" , "serif"; font-size: 7.0pt;"> </span><b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;">Neno lako la Mwisho kwa Fans wako?</span></b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman";"><o:p></o:p></span><br />
<b><span style="color: #222222; font-family: "arial" , "sans-serif"; font-size: 16.0pt;"><br /></span></b></div>
<iframe frameborder="no" height="350" scrolling="no" src="https://w.soundcloud.com/player/?url=https%3A//api.soundcloud.com/tracks/332756264&auto_play=false&hide_related=false&show_comments=true&show_user=true&show_reposts=false&visual=true" width="100%"></iframe>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-69693735013067538382017-07-11T11:17:00.002-07:002017-07-11T11:17:47.315-07:00MALKIA VANESSA MDEE AFANYA KAZI NA MFALME PETER WA P SQUARE <div style="background: white; margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">Mara baada ya kumaliza kushiriki kuigiza kwa mara ya kwanza katika
katika tamthiliya ya MTV, inayoitwa
SHUGA,Vanessa Mdee ameachia wimbo wake mpya unaoitwa <b><i>Kisela</i></b>. Katika tamthiliya
hiyo ya SHUGA, Vanessa ameshirikiana na waigizaji wa </span><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">Afrika Kusini </span><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;"> kama <span style="background-attachment: initial; background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial;"> Nick Mutuma and
Emmanuel Ikubese. Na </span>katika wimbo huo mpya Vanessa ameshirikiana na
Mfalme wa Pop wa Nigeria Mr P au
Peter Okoye wa PSquare, hakika ni mambo ya kusifika. Wimbo huu wenye vyombo vya upepo vya nguvu, unaongelea
hadithi ya mwanamke analalamika anavyotendwa na mpenzi wake, anaeendesha mapenza Kisela, Producer wa wimbo huu ni Mnaijeria producer EKelly,
ambaye ana nyimbo nyingi ambazo zimefanya vizuri sana Afrika, producer huyu ndie
aliutengeneza wimbo wa VeeMoney wa Cash Madame. Video ya wimbo imeongozwa na Clarence
Peters, na hakika Peter Okoye na Vanessa wameonyesha ukomavu wao katika sana, na kazi
hii inaonyesha hasa kwanini wao ni Mastaa.<o:p></o:p></span></div>
<div style="background: white; margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">Vanessa alimsifia Peter kwa kuonyesha hasa nini maana mwanamuziki ambaye ni star , na anaona kama ni
ndoto ilikuja kuwa kweli kushirikiana naye, pia alisifu kuwa Peter amempa sio tu somo katika muziki na utoaji wa
burudani, lakini pia somo la umahiri katika kazi na unyenyekevu kwa wengine.<o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/Cex_94XOLQA" width="560"></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-39500955844775661902017-06-26T03:50:00.000-07:002017-06-26T03:50:08.229-07:00VIJANA WA TANZANIA HUENDA WAPI KUPUMZISHA AKILI BAADA YA SAA ZA KAZI?<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMj2D1ic3pjlPGXh6TTWWPpX27LM_Au4O6-6ULo2nCq_DhaxJUAJZgpDYq3WT0NZIcSfnNs8TSvVolKAgg5QdoHbo_LqMkoFalfCkIQMnElHT2vbHqoS4-IWo1eHGoiMLdM0YAOfIx0Gk/s1600/nyumba+ya+sanaa.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" data-original-height="810" data-original-width="1080" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMj2D1ic3pjlPGXh6TTWWPpX27LM_Au4O6-6ULo2nCq_DhaxJUAJZgpDYq3WT0NZIcSfnNs8TSvVolKAgg5QdoHbo_LqMkoFalfCkIQMnElHT2vbHqoS4-IWo1eHGoiMLdM0YAOfIx0Gk/s640/nyumba+ya+sanaa.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: small;">AWALI HAPA PALIKUWA NA JENGO LILILOITWA NYUMBA YA SANAA WASANII WENGI WALIKUWA WAKIFANYA KAZI ZAO HAPA, KWA SASA KILICHOBAKI JINA WASANII HAWATAKIWI HAPA</span></td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">NILISAMBAZA UJUMBE HUU ASUBUHI TAREHE
23JUNE 2017, BAADA YA MASAA KADHAA WATU MBALIMBALI WAMECHANGIA .........<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;"><br /></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">Je vijana wa Tanzania huenda wapi
kupumzisha akili zao baada ya kazi? Hili swali bahati mbaya sana halimo katika
ajenda ya viongozi wa Tanzania, hata wale viongozi wa makundi ya vijana. Hakuna
anaewaza kubuni miradi ya kutengeneza sehemu za aina hiyo, hata viwanja au
majengo ambayo viongozi wa zamani waliyaweka kwa shughuli hizo 'social
centers', viongozi wa sasa wanazivunja na kuporomosha majengo ambayo wao huita
miradi na kusahau kabisa kuwa vijana wanastahili kuwa na maeneo ya kupumzisha
akili. Ziko wapi social halls zilioachwa na akina Joseph Nyerere? Ziko wapi
community centers zilizoachwa na wakoloni? Matokeo ya dhambi hii ni vijana
kuishia kukutana katika kumbi za bar na vijiwe visivyo rasmi. Hahihitaji akili
nyingi kujua kuwa mazoea ya kufika katika maeneo ya aina hiyo huzalisha mapenzi
ya ulevi wa pombe na hatimae dawa za kulevya. Na hakika kukosekana kwa burudani
mbadala huishia vijana kuona burudani nyingine pekee ni ngono. Sikiliza tungo
za nyimbo na hadithi za vijana wa leo, angalia video na filamu asilimia
kubwa ni kutukuza pombe na ngono. Uvaaji
na uchezaji wa mabinti ni wa kuelekeza kuwaza ngono, si ajabu kukuta moja ya
biashara zinazolipa ni guest houses. Utumiaji mkubwa wa dawa za kulevya ni
matokeo ya kukosekana sehemu halali za vijana kukutana kupeana mawazo bora.
Tulikomboe Taifa la kesho kwa kuhakikisha si kuhamasisha viwanja vya michezo
tu, pia maeneo ya shughuli nyingine za kijamii za vijana. Si kila kijana
anapenda au anajua kucheza mpira, hivyo kuhamasisha kutenga viwanja vya michezo tu hakika haitoshi.<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">John Kitime<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;"><br /></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">FEEDBACK<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">1. Shukran kwa neno zuri<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">2. Vizuri sana mzee Kitime,
kilichosababisha yote hayo ni umiminisaition, mdudu ambaye anaendelea
kututafuna hadi sasa<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">3. Community Centers,zilijengwa na
Mkoloni. Baada ya Azimio la Arusha mwaka 1967. Kufuatia Sensa kubwa ya kuhesabu
Watu. Ikagundulika kuwa. Watanzania tumeongezeka sana. Hivyo mahitaji ya Tiba yakaongezeka kuliko
Uwezo wetu wa kujenga hospitali. Ndipo ikaamuriwa Community Center ya Magomeni
igeuzwe Hospitali. Ikafuatia ya Temeke. Ikajengwa Amana Hosp. Jirani ya Ukumbi
wa Kijamii wa Amana. Weneyeji maeneo ya Mnazi mmoja ambayo ndiyo kata ya
Mchafukoge kama sikosei walikutana
Anatouglou Hall. Jirani ya ilipo Amtubhai Hosp na Mnazi mmoja Hosp. Wenyeji wa
Mitaa ya Jangwani walikutana Banda la Madobi ilpoimba pia Bendi ya Kilwa Jazz.
Msimbazi/Morogoro Road. Ulikuwepo Ukumbi wa Tanzania Legions Uliotumiwa na
Mashujaa wa Vita kuu ya Kwanza na ya pili. Umeuzwa juzijuzi na Watoto aidha
Wajukuu wao!<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">4. Nimeona nchi kama ivory coast, Congo
rd,zina kumbi maalum Nzuri za muziki
live kama vile Zenith uliopo Paris Ufaransa na sio ktk bar kama ilivyohapa
kwetu,kuna mamia wasioenda ktk muziki
ama kujihusisha nao sababu ya mazingira yaliyopo hv sasa<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">5. Kweli kabisa mkuu.Huku kwetu Kenya
uko vivyo hivyo.Vijana hawashughulikiwi.Mambo yamebaki tuu ulevi,ngono,madawa
ya kulevya na uhalifu.Its very sad indeed.<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">6. mijini kulitengwa
maeneo ya wazi kwaajili ya michezo ambayo sasa yamechukulkwa na wenye fedha kwaajili ya faida binafsi, mikoani kila wilaya ilikuwa na ukumbi wa
utamaduni ambao sasa kumbi hizo
hakuna, mkuu kitime
umeona mbali sana<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">7. Kumbi nyingine zimekuwa totoro had
sasa wameona bora wageuze nyumba za ibada, mfn ddc pale morogoro<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">8. Kilikua Kiwanja Changu Sana,
tukishihudia vikundi kama Muungano, Mandela nk. Nikiwashuhidia watu kama Kuntu
wa Kuntu, alikua Densa Mbilikimo, Chimbende km sijakosea, <o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">Chidumule na Dr Remmy (R.I.P) na
HAMISA wao. <o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">Nk<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">9. Upo ukumbi wa juwata nao, umepoa
kbs<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">10. Tanga Makorora Community Centre
Ipo. Kama ni Gari, inatembelea RIM. <o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">Kisosora Upo pia, nao halikadhalika.
Nadhani Kumbi Hizi zingetumika kama ule wa AMANA kungekua walau na faida kwa
vijana<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">11. Mawazo mazuri, binafsi naona ni
kutokana na wataalamu wetu wabaosimamia sheria sijui ni kujisahau au ni vipi,
maana hata miji mipya inayoanzishwa haiwi na mipango hiyo,, nikisema Wataalam
wetu namaanisha kwamba Sera na mipango inaeleza vizuri juu ya kubakisha sehemu
za social intertiment lakini haziwezi hata sehemu zao za Leaders club pia
wameziua<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">12. zamani walikua wakijenga hizi
community center na social halls kwa Halmashauri nyingi lkn kwa sasa hamna na
zikizopo hazina hadhi tena kulingana na wakati<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">13. yaan kwa sasa kimtazamo wangu, km
wizara husika, ikiwemo baraza, km ktk bajeti yake hakuna hii mipango, ina maana
muziki wetu wa dansi, utahitaji taasisi nyingine kuuinua, kwani kutokuwa na
public social Hall, kuna changia muziki wetu kuendelea kudorola. Nakumbuka sera
za zamani kila kampuni au kiwanda au taasisi ilikuwa na sehemu ya burudani hata
michezo, ndio maana had Leo miziki ya zaman itaendelea kukumbukwa sana kuliko
hii ya sasa, haijalishi umehit mara ngap, utapigwa Radio mara kadhaa basi
wanauchoka, inakuwa km "bublish " watafuna ikiisha utamu tu waitema.<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">14. mikoani na wilayani kunakua na
hizo nyingi halafu miji mikubwa kunakuwa na viwanja vikubwa vya burudani vya
kisasa vinavyomilikiwa na serikali<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">15. [09:31, 6/23/2017] Lkn hivi ktk
bunge, cjasikia wabunge wakijadili hata uwepo wa hizi bendi zetu kongwe, mara
nyingi wanaishia " kuselebuka " ,ebu wekeni "jojina " yaan
wanacheza na kuimba tu<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">[09:33, 6/23/2017] Wana mchango
mkubwa wa kuzirudisha hizi bendi zetu na kuzihuisha tena, zikawa na uhai na
ushindani na bendi nyingine, kuliko kutegemea "Gate collections "<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">[09:35, 6/23/2017] Tukizungumzia
hizi kumbi, lazima tuzizungumzie bendi zetu
pia, maana watakuja kusema, kumbi za nini wakati muziki wenyewe hauone
kani dah, uwa naumia sn na huu muziki wetu.<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">16. nadhani tukipata mtu akawa ama
Wazir ama mbunge itasaidia,vinginevyo vyama vya muziki haswa wa dansi,kama
yatakubaliwa basi itakuwa poa,mfano sera ya mheshimiwa Rais ya Tanzania ya
viwanda,wizara nayo ingetumbukiza mkono ikasema viwanda na burudani kuweka
uanzishwaji wa viwanda kwenda sambamba na shughuli za burudani mbalimbali pamwe
na muziki mfano kama ilivyokuwa bima nk,Jumuiya mbalimbali nazo ziamshe
burudani nk<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">17. [09:43, 6/23/2017 Hii itarudisha kirahisi muziki wetu, twahitaji watu wenye uzalendo ktk
hili<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">[09:45, 6/23/2017 Mfano mimi binafsi ningekuwa na uwezo ili kuteka "hadhira " kirahisi,
basi ningekusanya wana muziki wote mahiri na ninaojua hawa wapo vzr, ningeingia
nao mkataba wa miaka 3-5 ,na wakitoa album, mbili tatu, dah lazima watu
wakubali<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">[09:47, 6/23/2017 Yaan ntafanya km vile "Tanzania all stars " ikishindikana hapo basi
tutakuwa tumerogwa.<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">18. kile kiwanda cha kuunganisha
matrekta kibaha kinakuwa na bendi inaitwa Valment jazz band si mchezo<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">19. [09:51, 6/23/2017 haiwezi kushindikana,ujue kwa hii kauli mbiu ya viwanda inaenda na kukua kwa
ajira na kuongezeka kwa mzunguko wa pesa ktk eneo husika hivyo si rahisi kukosa
watu,lkn pia lengo la kwanza ni kuburudisha wafanyakazi siku za mapumziko kwa
hiyo hata wale wafanyakazi watakaofanya mtoko weekend wanaanzia kwao,na wake
zao,watoto ndugu jamaa na marafiki hebu ona hapo<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">[09:54, 6/23/2017 Ngoja kgt ikue, tumiliki bendi ya mfano<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">20. Hakika utu uzima dawa<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">21. Hii nzuri. Monkeys and nami
nawaza hizi community centers kwa nini hatuoni umuhimu wake...vijijini pia hali
mbaya. Choice ni kushinda kilabu au kanisani haswa msimu usio na shughuli za
kilimo<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">22. Nimependa andiko hili. Sahihi
kabisa! Niliwahi kuandika kuhusu uvunjaji wa majengo DSM na kuporomosha sky
scrapers, hatukatai lakini tunaondoa historia ya jiji letu ambapo tungeweza
kujenga new dsm na kuiacha old DSM kama ilivyo kwani historia ambayo
inafundishwa shuleni na picha zilizopo haipo ukija katika uhalisia. Mfano
nilifika mji wa Bulawayo Zimbabwe wanao mji unaitwa old pumula na new
pumula,ambapo wamefanikiwa kuhifadhi historia ya mji wao hawajaubomoa na Leo ni
kivutio tosha cha utalii. Hili nimeliongea Facebook zaidi ya Mara 2. Nashukuru
kwa andiko hili kwani linaakisi mawazo yangu kuhusu uhifadhi. Siku njema!<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">23. [09:05, 6/23/2017 Kabisa! Matokeo yake tunaanza kupambana na changamoto ya foleni,maeneo ya
maegesho ya magari,mafuriko katikati ya jiji kwa sababu tu ya kutaka
kulazimisha mambo na kuacha uasilia wake! Itaendelea kutugharimu sana<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">[09:08, 6/23/2017 Kuanzia Zinga,bagamoyo,mlandizi,ruvu,chalinze,kibaha,pugu,kisarawe,chanika na
kwingineko pembezoni,pangeweza kujenga new DSM na kuacha jiji kama lilivyokuwa.
Leo hii barabara nyingi zimebadilishwa,njia uliyopita mwezi jana ukipita leo
unakuta kibao (no entry)! Balaa hili!<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">[09:13, 6/23/2017 Majengo makubwa yameongezeka tena mengi pale kkoo,lakini miundombinu ipo ileile
ingawa kunakipindi wachina waliongeza miundombinu lakini haijasaidia kitu kuna
mitaa ukipita Maji ya chooni yanamwagika kana kwamba ni kitu cha kawaida,wazo
lakujenga Dar mpya ramani ya kisasa ingekua poa sana<o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">[09:16, 6/23/2017Sugu lifikishe kwa waziri kivuli wa mazingira......<o:p></o:p></span></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">24. Asante Mzee Kitime, umegusa
sehemu nzuri na mhimu kwa vijana wa taifa hili hasa ukizingatia vijana wengi
wamekuwa na mwamko wa sanaa huku wakijiendesha wenyewe bila msaada wowote toka
serikalini, niliwahi kumwambia kitu hiki mwakilishi mmoja toka wizarani
alitutembelea hapa nafasi siku Za nyuma, community center Ni mhimu sana kwa
vijana hata huku walikoendelea bado vipo na vijana wanatumia hadi leo, viongozi
wetu alifanyie kazi siyo vijana wote wapenda soka!!!!!</span><span style="font-size: 12pt;"><o:p></o:p></span></span></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="line-height: 115%;"><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">hizi ni baadhi tu ya mesej zilizotumwa kupitia group za whatasapp. Kuna maoni yanendelea kutolewa kupitia Instagram na hata kupigiwa simu....kuna haja ya kuwaamsha viongozi ili kuwanusuru vijana wa nchi hii kwa balaa zaidi....</span></span></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-26683079233178682502017-06-26T03:43:00.001-07:002017-06-26T04:01:40.437-07:00TID VS QUICK ROCKA-MTANGAZAJI WA MILLARD AYO AMEPOTOSHWA KUHUSU SHERIA YA HAKIMILI<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjJWQszt8FrF9G1oB7z4ld24ssRG0qSJpfmHtdsFTvrcdc_rB0hEvb2bz5c2eCJtIJG6ha2H5y4vcfAwXyF5pZUFMNdnY8WkXyTgCc1PJBFgudk4wyIcOlDEI7MHqpmxPw2u6ABZux5OxU/s1600/Audio_Cassette_TDK.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="188" data-original-width="298" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjJWQszt8FrF9G1oB7z4ld24ssRG0qSJpfmHtdsFTvrcdc_rB0hEvb2bz5c2eCJtIJG6ha2H5y4vcfAwXyF5pZUFMNdnY8WkXyTgCc1PJBFgudk4wyIcOlDEI7MHqpmxPw2u6ABZux5OxU/s1600/Audio_Cassette_TDK.jpg" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<iframe allowfullscreen="" frameborder="0" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/wnVYPoub1Qo" width="560"></iframe>
<br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;"> Katika video hii mtangazaji anadai kuwa aliwauliza wanasheria wanaofahamu 'mambo kama haya' akimananisha </span><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">haki za msanii katika </span><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">sheria za hakimiliki. Na mtangazaji akadai kuwa aliambiwa kuwa haki inalindwa ikiwa tu kazi ilisajiliwa katika 'Baraza' husika. </span><b style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: x-large;">Hii si kweli</b><span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">. Tanzania ikiwa ni mmoja wa signatories wa Berne Convetion toka mwaka 1994, hulinda kazi zozote za hakimiliki kuanzia pale inapoweza kushikika, na bila kujali ubora wa kazi yenyewe. Hakuna kipengele kinacholazimisha usajili popote kabla ya kuanza kulindwa na sheria, na sheria yetu ya Hakimiliki (Copyright and Neighbouring Rights Act no 7 of 1999) pia inalinda haki za mtunzi kwa msingi huo. Hivyo wasanii/watunzi wasipotoshwe kuwa ni lazima kazi yako iwe imesajiliwa ndipo itakapoanza kulindwa. Kusajili kunakusaidia kupata haki zako nyingine kama vile kukusanyiwa mirabaha, na pia huongeza ushahidi wakati wa kesi za madai kama hizi.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "verdana" , sans-serif; font-size: large;">John Kitime</span></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-11071330578521605892017-06-14T07:58:00.003-07:002017-06-14T07:58:42.267-07:00TARATIBU ZA KUJIUNGA NA COSOTA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhTMVK00KcHfmAAS57ZFK6rlazbf6dCJWKk4qvQgDIWVNyD5WAWEJc7s-hGZb5gCrS-RNvY3qUTuGRfArg7Lj90sQpKwYRJqpxvD1RsBJhvLHlmCTGT7DxkWTfXEiOV8TS7XPDUJhBN8yY/s1600/WhatsApp+Image+2017-06-13+at+14.58.39.jpeg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1080" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhTMVK00KcHfmAAS57ZFK6rlazbf6dCJWKk4qvQgDIWVNyD5WAWEJc7s-hGZb5gCrS-RNvY3qUTuGRfArg7Lj90sQpKwYRJqpxvD1RsBJhvLHlmCTGT7DxkWTfXEiOV8TS7XPDUJhBN8yY/s640/WhatsApp+Image+2017-06-13+at+14.58.39.jpeg" width="640" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiyJRHXKUoB0onkWVxk87i0fpL9Qc7_q1caEYbv_h9xkYp_SgqFVwo7J82mZ0SLAXXtM6By7TXKg0NrbS5WVG9jA7h0ai7jhRrW06JmtTePsFRHLdI8dzmkKExtlIpN3j1_pC0orp_yXRo/s1600/WhatsApp+Image+2017-06-13+at+14.58.40.jpeg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1080" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiyJRHXKUoB0onkWVxk87i0fpL9Qc7_q1caEYbv_h9xkYp_SgqFVwo7J82mZ0SLAXXtM6By7TXKg0NrbS5WVG9jA7h0ai7jhRrW06JmtTePsFRHLdI8dzmkKExtlIpN3j1_pC0orp_yXRo/s640/WhatsApp+Image+2017-06-13+at+14.58.40.jpeg" width="640" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg8qcet40DuxpyM7bDmVOZ4F6nv6O5KY-Ss-P65NoNR8PyXA3-nqRy7TF9hV8mObzSJ1awfybusR-zqIc4FxHzHVYXtwUaXjlaz8UQbYWewlOfKj6XINpLq6A-ZwpS3FH1tyfpsjM-lDRI/s1600/WhatsApp+Image+2017-06-13+at+15.44.48.jpeg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1080" data-original-width="1080" height="640" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg8qcet40DuxpyM7bDmVOZ4F6nv6O5KY-Ss-P65NoNR8PyXA3-nqRy7TF9hV8mObzSJ1awfybusR-zqIc4FxHzHVYXtwUaXjlaz8UQbYWewlOfKj6XINpLq6A-ZwpS3FH1tyfpsjM-lDRI/s640/WhatsApp+Image+2017-06-13+at+15.44.48.jpeg" width="640" /></a></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-9010020831124948972.post-13439660142980337562017-06-03T00:27:00.000-07:002017-06-03T00:27:19.487-07:00NIDHAMU KATIKA UENDESHAJI WA BENDI, TATIZO SUGU KWA BENDI NYINGI
<style>
<!--
/* Font Definitions */
@font-face
{font-family:Cambria;
panose-1:2 4 5 3 5 4 6 3 2 4;
mso-font-charset:0;
mso-generic-font-family:auto;
mso-font-pitch:variable;
mso-font-signature:3 0 0 0 1 0;}
/* Style Definitions */
p.MsoNormal, li.MsoNormal, div.MsoNormal
{mso-style-parent:"";
margin:0in;
margin-bottom:.0001pt;
mso-pagination:widow-orphan;
font-size:12.0pt;
font-family:"Times New Roman";
mso-ascii-font-family:Cambria;
mso-ascii-theme-font:minor-latin;
mso-fareast-font-family:Cambria;
mso-fareast-theme-font:minor-latin;
mso-hansi-font-family:Cambria;
mso-hansi-theme-font:minor-latin;
mso-bidi-font-family:"Times New Roman";
mso-bidi-theme-font:minor-bidi;}
@page Section1
{size:8.5in 11.0in;
margin:1.0in 1.25in 1.0in 1.25in;
mso-header-margin:.5in;
mso-footer-margin:.5in;
mso-paper-source:0;}
div.Section1
{page:Section1;}
-->
</style>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRN8U1tQkgMIetegKYE8bOqEpwdtQUMzZaGt8k-hv2mtyy_0NSBr0_cttYBMHER_aaCZ4-339xw9IA1aQLgLjIB7jwaDI7Fim48EJIbIUSD_5u7xRsPn0-0gLNxd84S0VhMdGMBLd9Ig4/s1600/P5200339.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="675" data-original-width="900" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRN8U1tQkgMIetegKYE8bOqEpwdtQUMzZaGt8k-hv2mtyy_0NSBr0_cttYBMHER_aaCZ4-339xw9IA1aQLgLjIB7jwaDI7Fim48EJIbIUSD_5u7xRsPn0-0gLNxd84S0VhMdGMBLd9Ig4/s640/P5200339.JPG" width="640" /></a></div>
<div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><span>Miezi
chache zilizopita rafiki yangu mmoja alinambia ameamua kuunda bendi mpya kabisa,
alikuwa na lengo la kuleta muziki mpya kabisa katika anga ya muziki Tanzania. Aliongea
kwa furaha na ni wazi alikuwa ana nia ya kufanya kitu kikubwa, maana alikuwa
amegharamia fedha nyingi kununua vifaa vipya kabisa vya kuanzisha bendi. Mwezi
mmoja baada ya mazoezi kuanza alinitafuta na kunambia ameamua kuvunja bendi na
vyombo anauza. Nilipomuuliza kwanini kabadili mawazo katika kipindi kifupi
vile, hata onyesho moja halijafanyika? Akanijibu. ’Wanamuziki wamenishinda, wana
matatizo makubwa ya ndhamu’. Kiukweli sikushangaa sana kwani jambo hili si geni
kabisa kwenye tasnia ya muziki kwa siku hizi. Mfumo wa uendeshaji bendi siku
hizi ni tofauti sana na miaka ya nyuma. </span></span></span></div>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;">
</span></span><div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><span>Nichukue
mfano wa bendi Vijana jazz Band, bendi ambayo nilijiunga mwaka 1989. Kujiunga
na bendi hii kulitokana na mwaliko niliyoupata kupitia kwa muimbaji rafiki
yangu Marehemu Mohamed Shaweji. Shaweji tulikuwa wote Tancut Almasi Orchestra kisha
yeye akaniacha kule na na kujiunga na Vijana Jazz Band, yeye na muimbaji
mwingine Marehemu Gota gota wakiwa wamemfuata mpiga gitaa Shaaban ‘Wanted’
Yohana, aliyetoka Tancut pia na kuhamia Vijana Jazz Band miezi michache kabla.
Hivyo siku moja nikiwa na bendi ya Tancut Almasi kwenye onyesho kwenye ukumbi
wa CCM kata ya 14 Temeke, Shaweji alikuja na kunambia kuwa Hemed Maneti,
kiongozi wa Vijana Jazz Band alikuwa anataka nijiunge na bendi yake. Nilikubali
na mwezi Oktoba 1989 nilijiunga na Vijana Jazz. Kufikia mwezi wa Desemba mwaka
huohuo nikawa nimepewa wadhifa wa kuwa Band Master, kazi za Band Master ni
kuangalia nidhamu ya jumla ya wanamuziki, ikiwemo mahudhurio mazoezini na kazini,
uchelewaji, ulevi, usafi binafsi wa mwanamuziki na pia kupanga ratiba ya nyimbo
ambazo zinatakiwa kupigwa katika onyesho.<span>
</span>Kwa mfumo uliokuweko, Band Master aliweza kumsimamisha mwanamuziki
yoyote aliyekiuka sheria za bendi, au kutoa adhabu ya kukatwa fedha kutoka
kwenye mafao yake ya kila wiki ikiwa ni adhabu kwa makosa mbalimbali. Nguvu
hizi zilifanya wanamuziki kuwa na nidhamu wakati wote wawapo kwenye shughuli za
bendi. Ikumbukwe kuwa katika bendi kulikuweko na kiongozi mkuu Band Leader.
Huyu alikuwa na mamlaka ya kufukuza mtu kazi na pia kuajiri na ndie anaepanga
hata ukubwa wa mshahara, lakini alikuwa haingilii madaraka ya Stage Master. Kwa
kawaida wanamuziki waliona ni heri matatizo yao yaishie kwa Band Master kwani
yakifika kwa Band Leader yanakuwa ndio yamefika hatua ya mwisho isiyo na rufaa
na inaweza kuwa hasara kubwa. Ili kuonyesha Band Master alivyokuwa na nafasi ya
pekee, siku moja wakati niko Vijana jazz band, ilikuwa twende kwenye moja ya
maonesho na kuna gari ilikuwa inatupitia wote majumbani kwetu, tulipofika
nyumbani kwa Band Leader Hemed Maneti, alitoka nje akiwa na karatasi kutoka
hospitali akaja kunitaarifu kama Band Master, kuwa hataweza kuja kazini kwani
anaumwa, Maneti alikuwa Band Leader lakini alikuwa akiheshimu nafasi ya Band
Master, tena nilikuwa bado mgeni katika bendi. Hii ilikuwa ni ishara wazi kwa
wanamuziki wengine kuwa Band Master lazima aheshimiwe na wote.</span></span></span></div>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;">
</span></span><div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><span>Hali
si hivi katika bendi nyingi siku hizi. Ngumu kujua nani mwenye madaraka gani
kwani bendi zinakuwa na mwenye bendi, mkurugenzi wa bendi, meneja, maseneta,
kiongozi wa bendi, wadau wa bendi. Wote hawa wana mamlaka zisizo na mipaka,
wanaweza kuamua wimbo gani upigwe, wanaweza kuamua nani atimuliwe au nani
aingizwe kwenye bendi, mmoja akimsimamisha mwanamuziki kwa utovu wa nidhamu
mwingine anaweza akamrudisha, hakuna mtu mwenye amri ya mwisho kuhusu lolote
lile, hivyo nidhamu imeshuka sana, na pasipo na nidhamu si rahisi kuweko na
maendeleo yoyote yenye tija. </span></span></span></div>
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;">
</span></span><div class="MsoNormal">
<span style="font-family: Verdana,sans-serif;"><span style="font-size: large;"><span>Sasa
nizungumzie kosa la rafiki yangu aliyetaka kuanzisha bendi na ikamshinda,
kwanza baada ya kununua vyombo, aliaanza kutafuta wanamuziki akisaidiana na
watu wake wa karibu, kisha akamteua kiongozi wa bendi, ambae kimsingi kilikuwa
kilemba cha ukoka kwani rafiki yangu ndie aliyekuwa na amri ya mwisho kuhusu
lolote katika bendi. Na kwa kuwa hakuwa na muda wa kushinda kila mahala na
bendi, kundi likawa halina kiongozi mwenye mamalaka<span> </span>na mwisho kila mtu akawa anafanya lake, walevi wakalewa
sana, wachelewaji wakendelea na uchelewaji wao, hakukuwa na mtu aliyekuwa na
uwezo wa kutoa mwelekeo wa bendi kinidhamu wala kimuziki. Muziki wa bendi kwa
ujumla umekumbwa na tatizo hili la kukosa uongozi, maamuzi mengi yanafanyika
kwa vikao, hata maamuzi yale ambayo ni ya kitaaluma yanangoja makubaliano ya
wengi, na kwa mtindo huu bendi zitachelewa sana kujikwamua kwenye tope ambalo
zimenasa. <span> </span>Ushauri kwa wanaotaka
kufungua bendi, ni bora kumtafuta mwanamuziki mmoja ambaye unaamini anaweza
kutengeneza muziki unaoutaka au unaodhani utakuletea biashara kisha umwachie
aijege hiyo bendi na wanamuziki anaoona yeye wanafaa, hapa tayari utakuwa
umejenga utawala unaoeleweka. Mwenye vyombo usiingilie moja kwa moja mambo ya
bendi, wanamuziki wakishajua kuwa kiongozi wa bendi hana mamlaka kamili,
nidhamu inavunjika.</span></span></span></div>
Unknownnoreply@blogger.com0